hivi Deo sio kijana msomi ambao ccm wanawalilia/mwenye kiti akifurahia kuona wasomi na vijana wengi wana gombea nec, je deo si msafi kama EL, AC, au ndio mazingira ya kumtayarishia mwana dada aliye CC Pinda Chana , jimbo la uchaguzi?
kwa nini wasilete hoja ua ugombea binafsi?
hii itaondoa haya mambo ya kuwa na allegiance na vyama vya ajabu ajabu