Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Inaelekea amewatosa wazee wa Dar es salaam sasa.
Anajikosha kwa kulifungia gazeti la Mwanahalisi ndio maana anazungumza na wahariri, wamuuliz uchochezi wa mwanahalisi ni upi na kesi ipi iliyofunguliwa dhidi ya gazeti hilo. We are led by poor brain