Labda kama anazungumza nao (waandishi wa habari) itakuwa ni kimya kimya maana TBC wanaonesha kikao cha bunge na Clouds (wasaidizi wa TBC wasiokuwa rasmi) kipindi hewani ni JAHAZI. Au suala la kuzungumza na waandishi nalo LIMEKWENDA MAHAKAMANI=kukutana kimya kimya??