Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Mh.Rais tunaomba tusikie kwa mara ya kwanza kama AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YETU Ukimkoromea ya mama wa nchi jirani anayedai ziwa nyasa mali ya Malawi.
Tukumbushe hasira zetu enzi za wimbo HUU: bandaaa wa Malawi atuvalia ngozi ya simba, hatujali hatujali. Tunataka tukusikie leo kuitesa kwenye anga zako kama amiri jeshi mkuu.
Vinginevyo hatutakuelewa, huyu mama sasa amekuwa kama mpiga filimbi wa hamerini. Come on JK
Tukumbushe hasira zetu enzi za wimbo HUU: bandaaa wa Malawi atuvalia ngozi ya simba, hatujali hatujali. Tunataka tukusikie leo kuitesa kwenye anga zako kama amiri jeshi mkuu.
Vinginevyo hatutakuelewa, huyu mama sasa amekuwa kama mpiga filimbi wa hamerini. Come on JK