sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Rais jakaya kikwete ameiomba serikali ya Malaysia kuvishawishi vyuo vikuu vya nchi hiyo kuanzisha ama kuamishia shughuli zao hata ikiwezekana kujenga majengo ya vyuo hivyo,katika Tanzania.
Rais jakaya kikwete ameiomba serikali ya Malaysia kuvishawishi vyuo vikuu vya nchi hiyo kuanzisha ama kuamishia shughuli zao hata ikiwezekana kujenga majengo ya vyuo hivyo,katika Tanzania.
umeme huu wa kimagumashi,hii ni nchi ya kisanii kwa hiyo kila kitu ni usanii tu.kwa umeme gani?
Red:jamani si mnamjua Rais wetu ni msanii,anaweza kuweka mazingira mazuri na watu wakaja kuwekeza///Kwanini aombe badala ya yeey kama Raisi kuweka mazingira mazuri ya watu wa nje kuwekeza kama vile uatikanaji wa umeme n.k. Anamalza fedha zetu buere kuzururua juzijuzi alikuwa Geneva katika mkutano wa ILO akiongea pumba tupu, mara Setchelles na sasa Malaysia.
Kwanini aombe badala ya yeey kama Raisi kuweka mazingira mazuri ya watu wa nje kuwekeza kama vile uatikanaji wa umeme n.k. Anamalza fedha zetu buere kuzururua juzijuzi alikuwa Geneva katika mkutano wa ILO akiongea pumba tupu, mara Setchelles na sasa Malaysia.
Tanzania ilipata uhuru around the same time na Malaysia, leo hii bila aibu tunaenda kuomba huko! Jana bungeni Myinka, Lissu, Zitto wamepiga kelele kuhusu misaamaha ya kodi kwa SEZ & EPZ. Kwa taifa ombaomba inakuwaje tunatoa msamaha wa miaka 10 tena kwa makampuni ya mtaji mdogo? Huko Malaysia tunakopiga magoti wao wanatoa msamaha wa miaka 5.
Rais Kikwete anatakia atambue kuwa 'solutions' za matatizo yetu zitatoka humu humu ndani na sio kwenye nchi nyingine. Watanzania ndio wenye ufungo wa ku-lock outside matatizo yatu na solution hiyo in my view iko kwenye LEADERSHIP. Maadam ungozi wa ccm wameonekana kutojuwa au kukataa kujuwa mara watanzania wanapotoa orodha ya mambo ya kufanya ili nchi iende, basi hatuna budi kuwaondoa wale woooote wanaziba masikio na kuendekeza hii theory ya ku-import solution. CCM must go kama kweli tunakata kuondoka na hii fedheha ya kuwapigia magoti wanaume wengine kila asubuhi tukiomba misaada.
Wenzetu walipopata Uhuru waliweka misingi mizuri, sisi tuliwekewa misingi mibovu, waliopo sasa madarakani inabidi waibomoe hiyo misingi mibovu, kwani msingi wa nyumba ya vyumba sita uliowekwa baada ya uhuru, huwezi kuujengea "sky scrapper". Umeshabomolewa na sasa ndio tunaanza kuweka msingi wa "sky scrapper". Wakulaumiwa ni nani kwa kuwa tuko nyuma?
Hiki cha sisi kuvutia wawekezaji kwa sasa wenzetu wa Malaysia walikifanya miaka hiyooo, soma habari za Mahathir Muhammad.
Mkuu hujamuelewa vizuri FaizaFoxy. Hajakusudia skyscraper kwa maana ya nyumba, huo ni mfano tu.Maendeleo hayatokani na sky scrapers FaizaFaoxy, you need to learn a thing or two about foundamentals of sustainable national development. Malaysia wamewekeza kwenye rasiliamli watu - INVESTED IN HIS PEOPLE. Tanzania tunaonekana kufanya kinyume.Matokeo ya form IV mwaka 2010 yanaonesha nchi inayoelekea kuzimu. 80% ya wYanafunzi wamefli. Yaani zaidi ya 150,000 ya vijana walifanya mtihani sasa wako mtaani pengine wanauza viberiti na maji baridi. Mwaka huu wadogo zao kwa maelfu watajumuika nao mitaani. Wewe unaongelea physical building. Nikuulize hawa wanaouza viberiti wanafaidiake na sky scrapers? Only twisted mind ndio anaweza kupima maendeleo kwa majengo!
Salaam aleikhumHeko Kikwete, naunga mkono juhudi zako, na wasioziona wana yao.