Kama anaruhusu maswali kwa njia ya simu nitamuuliza alikuwa wapi muda wote tangu mgomo wa madaktari leo ndo analiongelea! au alikuwa anasubiru mwisho wa mwezi (no emergency because he doesnt care)
...Gamba kuu limemaliza kutoa kinachoitwa hotuba ya mwisho wa mwezi....
Hakuna mvuto katika hotuba hii...hajazungumzia hali ya nchi kiuchumi, hajasema atawachukulia hatua gani wale ambao pinda alisema anamwachia rais...huenda huyu jamaa hayajui matatizo ya nchi hii...
Idadi itakayotakiwa ni 32 tu wakiwemo Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar.
Sifa:
1.Wawe na uzoefu katika masuala ya uchumi, sheria nk.
2.Wawe wanakidhi mahitaji ya kijiografia.
Makundi yatakayohusika kutoa mapendekezo ya majina ya wajumbe ni
vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu,makundi mbalimbali yenye
mahitaji maalum na wadau mbalimbali wa masuala ya katiba. Pia
yeye mwenyewe anaruhusiwa kikatiba kuteua wajumbe wake.
Pamoja na kwamba nafasi ni 30 tu ukimuondoa yeye (Rais wa JMT) na Rais wa
Zanzibar makundi hayo yataruhusiwa kupendekeza wajumbe watatu kwa kila
kundi japo wanaweza wasichukuliwe wote kutokana na idadi inayohitajika
kuwa ndogo.
Kweli tunamsanii. JK hatutendei haki Watanzania. Hii nchi inamatatizo mengi ambayo ilibidi walau hatupe moyo. Kweli tuliliwa hapa. Walaaniwe wote waliompa kura na waliosaidia kuiba kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.