NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,931
- 918
Jk leo atahutubia kama utaratibu ulivyo kwa kila mwisho wa mwezi.
Tusubiri tuone atakuja na yapi yakutuleza sisi wananchi wake wenye matatizo lukuki
stay tuned.
UPDATES
Ameanza sasa kuhutubia
Naona leo kaingia kwa staili ya Obama-japo corridor yake ni fupi
Swala la mgomo wa madaktari analizungumzia
mauaji ya singoe pia yapo kwenye hoja,
leo naona anafuraha kuliko hotuba zake nyingine,na hajakaa kama zamani,kasimama
Tusubiri tuone atakuja na yapi yakutuleza sisi wananchi wake wenye matatizo lukuki
stay tuned.
UPDATES
Ameanza sasa kuhutubia
Naona leo kaingia kwa staili ya Obama-japo corridor yake ni fupi
Swala la mgomo wa madaktari analizungumzia
mauaji ya singoe pia yapo kwenye hoja,
leo naona anafuraha kuliko hotuba zake nyingine,na hajakaa kama zamani,kasimama