Rais wetu mtukufu, mhe. Dk. J. M. Kikwete afanya ziara ya kikazi nchini Brazil kukagua kilimo cha nyanya ili kuenzi sera ya kilimo kwanza.
Hiyo ndio safari ya kikazi ya mhe. Mkubwa. Watanzania sasa tujiandae kwa kilimo cha nyanya kwa maendeleo na ustawi wa jamii yetu na uchumi madhubuti.
Hiyo ndio safari ya kikazi ya mhe. Mkubwa. Watanzania sasa tujiandae kwa kilimo cha nyanya kwa maendeleo na ustawi wa jamii yetu na uchumi madhubuti.