Rais John Magufuli ashtukiza Hospitali ya Muhimbili

Mr Chin

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
4,625
1,024
[h=3][/h]Rais wa Tanzania Dk.John Pombe Maguli amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya taifa Muhimbili kujionea hali ya utoaji huduma kwa wagonjwa.
Awali Rais Magufuli alifika katika Hospitali ya Agha Khan kumjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Bi Hellen Kijo Bi.Simba anayepatiwa matibabu na vipimo katika hospitali hiyo baada ya jana kupata ajali katika makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam

12189895_10207850562531276_1356991851883826242_n.jpg


12191057_1105977809414220_4753385207940368378_n.jpg


12193348_431812973674822_983176736916388312_n.jpg


DK.-MAGUFULI-3.jpg




11050164_431791143677005_1924287965000579572_n.jpg


12193748_431791137010339_4851599246875581050_n.jpg

 
Watu wanajua kupamba. KUMBE MAGUFULI KAVUNJA BODI YA HOSPITAL KWASABABU BODI IMEMALIZA MUDA WAKE..HAHAAA
 
Back
Top Bottom