Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,033
- 23,873
Jakaya Kikwete
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumanne, Januari 31, 2012 limeandika habari zenye kichwa cha habari JK abariki posho mpya za Wabunge: Kila mmoja kulipwa sh 330,000 kwa siku.
Habari hizi siyo za kweli na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais inataka kutoa ufafanuzi ufuatao:
Maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuhusu suala hili yako wazi kabisa na hakuna mahali ambako Rais Kikwete amebariki posho hizi.
Maelekezo ya Mheshimiwa Rais kuhusu suala hili ni kama ifuatavyo:
Kwanza, Mheshimiwa RaisKikwete anakubali haja ya kuangalia upya posho kwa Wabunge lakini amewataka wabunge kutumia hekima na busara katika kulitafakarisuala hili.
Pili, Mheshimiwa Rais Kikwete amewataka Wabunge kutumia Kikao cha sasa cha Bunge kulizungumza upya sualahilo.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasilianoya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
31 Januari, 2012
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumanne, Januari 31, 2012 limeandika habari zenye kichwa cha habari JK abariki posho mpya za Wabunge: Kila mmoja kulipwa sh 330,000 kwa siku.
Habari hizi siyo za kweli na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais inataka kutoa ufafanuzi ufuatao:
Maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuhusu suala hili yako wazi kabisa na hakuna mahali ambako Rais Kikwete amebariki posho hizi.
Maelekezo ya Mheshimiwa Rais kuhusu suala hili ni kama ifuatavyo:
Kwanza, Mheshimiwa RaisKikwete anakubali haja ya kuangalia upya posho kwa Wabunge lakini amewataka wabunge kutumia hekima na busara katika kulitafakarisuala hili.
Pili, Mheshimiwa Rais Kikwete amewataka Wabunge kutumia Kikao cha sasa cha Bunge kulizungumza upya sualahilo.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasilianoya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
31 Januari, 2012