kama kawa ana mmatonya david,pili usharobaro picha ya pamoja
hayawi hayawi sasa yamekua..kaeni mkao wa kuliwa.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu itoa press release juzi na kusema kuwa moja ya mambo yanayompeleka rais Kikwete Davos ni kukutana na 'watu mashuhuri'. Naomba niishie hapo. lazoma ni-frame hii picha kwa ukumbusho wa watoto wangu!
Jamani JK vp tena?! Walikua wanajadili nini tena au ndo anamtaka radhi baada ya kukutaa sera zake za ushoga ninawasiwasi na mada waliyokua wanataka kujadili!!!.
Anyway usilojua ni sawa na usiku wa giza!!!
cameroun ni baba wa ushoga, Jk ukimpa mkono unapaswa kwenda kunawa mikono huyo jamaa ni najisi kwetu watanzania
wakunga ni akina nani?
Kujadili mambo ya uchumi na Cameroon? Mbona panatia shaka!
cameroun ni baba wa ushoga, Jk ukimpa mkono unapaswa kwenda kunawa mikono huyo jamaa ni najisi kwetu watanzania