Rais JK aendelea kuizunguka dunia;aenda Belgium na Misri!

I predicted this and he will never delegate to his juniors until 2015 to attend any international gathering!!!

thank you, i'm on ''jf mobile'' mode so i cant find the thanks button! no wonder he has 50+ junior delegates alongside, and he will touch-down @ egypt to catch-up on vote-rigging hurdles with the egyptian president so that he don't experience unnecessary hassles on staying in power as he did!? egypt is votting today, HE IS GOING TO DISCUSS ''INTERNATIONAL RELATION MATTERS'' ON ''THE EGYPTIAN NATIONAL ELECTION DAY''?
 
Kama kawaida yake Kiguu na njia duuh kaaaaazi kwelikweli badala ya kutatua matatizo ya umeme home yeye amepuuza ameona hilo na kwenda huko ni muhimu kuliko matatizo ya watanzania?
 
Kaenda kuchota kidogo mapato ya Visa za watu wa Shengen wanaokuja Tanzania. Kuna mapato kibao huko
 
Jk, Jk, Jk Wangu. kweli Una nia ya kuwaponya watanzania?. Welcome in Tanzania where power outage is common . Ama kweli Jk una kiburi. Na sijui tatizo la umeme unalionaje. kila kitu kwako kitakuwa historia.
 
Ni kawaida kwa viongozi wetu hawa....hapo anahamasisha utalii wa nchi za nje kwa wabongo na shopping kdg ikiwezekana...
 
Kwenye mikutano kama hii ni vyema tukawakilishwa na Mabalozi wetu waliopo kwenye nchi hizo

Kweli mkutano huu una tija kwa watz?Kwa nini Rais wetu kila siku anakwenda kwenye vimikutano ambavyo Balozi wetu angetosha kutuwakilisha na kutupunguzia gharama?

Naunga mkono hoja kuwa si lazima Rais wetu aende kuiwakilisha nchi kila mkutano, hasa pale ambako nchi haipati tija yoyote. Kwanza ebu tujiulize, nchi za Kiafrika ngapi zimewakilishwa na maraisi wao? Tunaweza shangaa kuona kuwa ni nchi moja au mbili tu za kiafrika ndizo marais wameenda!!!!! Wengine wamebana kwa kuhurumia uchumi wa chi zao!!!
 
Unaambiwa budget ina deficit na hata hajui atapata api pesa ya kujazia manake wanaume wenzie wamemnyondea,TRA wameshuka katika makusanyo kwa asilimia 18 Mtoto wa mkulima anakataa kupanda GX mpya wakati yeye ndio aliruhusu magari yanunuliwe manake mawaziri walibaki madarakani mpaka iku ya mwisho atasemaje walinunua bila yeye kumshirikisha huu si uhuni wa serikali hii mwache akakinge bakuli kama ataambulia kitu mwendawazimu raisi asiye nafikra za kuwatumikia wananchi wake
 
Anaenda kuhemea kama alivyosema mwacheni mtoto wa mwenzenu. kwani yeye ana shida ya umeme?!! jamani huyo ndio Rais,safiri kwa kasi zaidi mkuu hawa wanaona wivu tu.
 
Naunga mkono hoja kuwa si lazima Rais wetu aende kuiwakilisha nchi kila mkutano, hasa pale ambako nchi haipati tija yoyote. Kwanza ebu tujiulize, nchi za Kiafrika ngapi zimewakilishwa na maraisi wao? Tunaweza shangaa kuona kuwa ni nchi moja au mbili tu za kiafrika ndizo marais wameenda!!!!! Wengine wamebana kwa kuhurumia uchumi wa chi zao!!!

hii ni balaa kubwa ktk nchi, sijui waliompigia kura ya ndiyo walikuwa na sababu gani ya kufanya hivyo,KAMA KUNA MWENYE ILE KATUNI ILIYOMUONYESHA AKISEMA ANA HAMU YA KUSAFIRI HADI PASPORT YAKE INACHEZA MFUKONI ATUWEKEE TENA
 
874069.jpg
Amekwenda kubembea
 
Anatakiwa kupopotolewa mimawe atakapokuwa anarudi anaenda wapi nchi haina umeme,hakuna kitu kinafanyika watu munaenda ofisisini kusoma magazeti,maji Mwandosya anakwambia mpaka mvua inyeshe vinginevyo tutajijua na mabomba yanayotoa hewa hivi kweli wameshindwa kujenga bwawa la kuvuna maji wakati wa masika kwa matumizi ya mwaka mzima,mfumuko wa bei wananchi Dar tunakula mlo mmoja yeye na matai yake mekundi anaenda kuzurura zurura tuu ovyo kabisa
 
Unaambiwa budget ina deficit na hata hajui atapata api pesa ya kujazia manake wanaume wenzie wamemnyondea,TRA wameshuka katika makusanyo kwa asilimia 18 Mtoto wa mkulima anakataa kupanda GX mpya wakati yeye ndio aliruhusu magari yanunuliwe manake mawaziri walibaki madarakani mpaka iku ya mwisho atasemaje walinunua bila yeye kumshirikisha huu si uhuni wa serikali hii mwache akakinge bakuli kama ataambulia kitu mwendawazimu raisi asiye nafikra za kuwatumikia wananchi wake

Maneno Hayoooo......hana cha kupoteza ...... hakuna tena uchaguzi.... wa yeye kugombea ....now its kujirusha kwa kwenda mbele.....
 
Kwenye mikutano kama hii ni vyema tukawakilishwa na Mabalozi wetu waliopo kwenye nchi hizo

Kweli mkutano huu una tija kwa watz?Kwa nini Rais wetu kila siku anakwenda kwenye vimikutano ambavyo Balozi wetu angetosha kutuwakilisha na kutupunguzia gharama?

swali?je hizo nchi za wengine kwenye mikutano kama hiyo wanaenda mabalozi?
au nyinyi tu tanzania ndio mnajua sana utaratibu?
kwanza mwacheni mheshimiwa akapate lotion ya hewani!
 
Back
Top Bottom