makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Hii ni katika kutapatapa kwa Serikali ya Chama Cha Mafisadi(CCM).
Hii nchi kwa sasa hatuna viongozi ila tuna wababaishaji na wasanii!
Msitegemee kama kutakuwa na lolote la maana kutoka kikao hiki.Sana sana kitakachoongelewa hapa ni maswala ya namna kuwalipa DOWANS,namna ya kuwadhibiti CHADEMA na namna ya kwenda LOLIONDO KWA BABU!!
Hii nchi kwa sasa hatuna viongozi ila tuna wababaishaji na wasanii!
Msitegemee kama kutakuwa na lolote la maana kutoka kikao hiki.Sana sana kitakachoongelewa hapa ni maswala ya namna kuwalipa DOWANS,namna ya kuwadhibiti CHADEMA na namna ya kwenda LOLIONDO KWA BABU!!