anajadili tu upupu, pamoja na Sokwe mtu, anawaambia yeye ameshapata sehemu ya kukimbilia Saudi arabia sijui wao, mzee sokwe yeye kasema atakuwa wa mwisho kama CDM tutaamua kumtoa
Dakta Dr. Dk. Jakaya amefilisi Taifa hili. Inawezekana alikuwa na lengo jema la kulifanya Taifa liwe kama Dubai ila ila tu hakuwa na uwezo wa kuliongoza kufikia lengo lake.
Wanajadili jinsi bajeti ya kuwalipa Dowans ilivyobadilika na kutafuta mbinu mpya ya kukomba mpunga wa walipa kodi. Wanasema ni lazima walipe, Je mbinu yao mpya ni ipi?
Vikao vya baraza la mawaziri yanayojadiliwa ni siri,kama kuna la kutangazwa basi tutaambiwa. Mawaziri kumbuka huapa kwa Mungu kuwa hawatatoa siri za baraza, na wanaotoa siri basi inapaswa kuadhibiwa .Kuvuja kwa siri za serikali inatokana na viongozi wasio na imani juu ya Mungu na baadhi kuwa wanafiki.
Wakuu hebu tujaribu kuvuta picha ya haraka hapa inavyoonekana alimfukuza sita kwenye hiccho kikao......Hebu chekini hiyo picha ya kwanza ishara ilivyo na hizi pichaa mbili hapo naona mara sitta akawa hayupo...Hebu tupeni mpre info nini kimeendelea huko ndani!
Kabisa hata mimi naona hivyo si unaona hao mawaziri wengine wote wamekaa kama kuna mshangao fulani hivi au kuna kitu kinaendelea hapo......Alafu angalia hizo picha mbili zingine sitta alikuwaa hayupo.......So hapo kutakuwa na kitu tu!!
You might thinking they are discussing very productive things for Tanzanians. Hakuna ideas wala lolote ni picha za michuzi, dairy news na tbc tu. Kula chakula na kutumia pesa za wananchi bure. Kitu gani wame-accomplish walipo kaa last time au tangu 2005? Si walilipa Dowans Ok kulipwa na kurudishwa Tanzania ili Rostam aendelee kutuchapa viboko.
I am just sick and tired to see my tax funds being explore like this.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.