Rais Jakaya Kikwete kuongea na Waandishi wa habari leo !

Afadhari aje mapema awkanye waalimu warudi likizo. maana wako semina za sensa wanalamba bingo afu wanadai wamegoma mbaya zaidi wanasababisha watoto wetu watangetange mitaani.GOOMEENI SENSA TUTAWAELEWA. maana utaigomeaje serikali kufundisha afu uitii serikali hiyohiyo kwenye sensa????????????????????????????

kwani sensa ndio iliyomwajili mwl? poor
 
Nategemea atazungumzia masuala yafuatayo

[1] Mgomo wa waalimu


[4] Ikulu kuhusishwa na mateso ya Dr Ulimboka


Kuhusiana na mambo haya ataongea na Wazee wa DSM. Siyo Waandishi wa Habari.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Nategemea atazungumzia masuala yafuatayo

[1] Mgomo wa waalimu

[2] Matatizo ya TANESCO

[3] Mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi.

[4] Ikulu kuhusishwa na mateso ya Dr Ulimboka

[5] Sensa na kizungumkuti cha waIslam.

Hana pointi yeyote ya kusema katika hizo mada 5 muhimu kwa sasa....
 
Mh! Inamaana uko IKULU atawaalika na wazee waleeeeeeeee! au 1000/= yakuwapa.... Hawezi kukimbia vivuli vya matatizo vitamfata mpaka uko MSOGA
 
hivi mheshimiwa ameanza kuongea na waandishi wa habari?taarifa ya mwanzo nilipata ni saa tisa alasiri.naomba kufahamu.
 
Mi nimepoteza hamu ya kusikia majibu mepesi kwenye changamoto nzito za huyu mwenyekiti wa ccm
 
hivi mheshimiwa ameanza kuongea na waandishi wa habari?taarifa ya mwanzo nilipata ni saa tisa alasiri.naomba kufahamu.

TBC(TV) wanarusha matangazo ya Kikao cha Bunge; CLOUDS naona wanaanza JAHAZI...Labda kama anazungumza nao KIMYA KIMYA Au kachanganya tarehe ya leo n APRIL 1..FOOLS DAY??
 
hivi mheshimiwa ameanza kuongea na waandishi wa habari?taarifa ya mwanzo nilipata ni saa tisa alasiri.naomba kufahamu.

Mi mwenyewe hii issue imenileta speed nyumbani. Kwani atakuwa live radio/tv station gani?
 
kwa mlipo karibu na radio please tune 92.3 fm ndo kuna live broadcast
 
Haya CLOUDS Radio wametangaza ku-link up siyo muda mrefu na IKULU kusikiliza asemayo MKULU
 
Haiwezekani hayo yote yako mahakamani..
Nategemea atazungumzia masuala yafuatayo

[1] Mgomo wa waalimu

[2] Matatizo ya TANESCO

[3] Mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi.

[4] Ikulu kuhusishwa na mateso ya Dr Ulimboka

[5] Sensa na kizungumkuti cha waIslam.
 
CLOUDS WANASEMA BIBI MASABURA (toka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi) ameteuliwa kuwa msaidizi wa RAIS masuala ya elimu.....

Naona yaliyoko mahakamani siyo muda mrefu yatazungumziwa na Rais.....MGOMO WA WALIMU
 
CLOUDS WANASEMA BIBI MASABURA (toka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi) ameteuliwa kuwa msaidizi wa RAIS masuala ya elimu.....

Naona yaliyoko mahakamani siyo muda mrefu yatazungumziwa na Rais.....MGOMO WA WALIMU


Kasema atalizungumza kwa kifupi kwa kuwa kesho uamuzi utatolewa na mahakama. Halafu wahariri mbona hata makofi hawampigii? Naona kuna pointi nzuri anazishusha hapa.
:ranger:
 
Back
Top Bottom