Fungo N.
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 252
- 43
Afadhari aje mapema awkanye waalimu warudi likizo. maana wako semina za sensa wanalamba bingo afu wanadai wamegoma mbaya zaidi wanasababisha watoto wetu watangetange mitaani.GOOMEENI SENSA TUTAWAELEWA. maana utaigomeaje serikali kufundisha afu uitii serikali hiyohiyo kwenye sensa????????????????????????????
kwani sensa ndio iliyomwajili mwl? poor