Wadau,
Leo majira ya saa 9 Alasiri, Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh Jakaya Kikwete leo atakuwa na mkutano na waandishi wa habari Ikulu- Magogoni !
Tusubiri tuone atakuja na lipi !
Nawakilisha !
Hata hao Wazee walishamuona ni kilaza hivyo wameamua kumchunia! Siku zote amezoea kuwapiga blaaa blaa + usanii halafu hata mafao yao ya EAC au matibabu hawayapati, hivyo WAZEE WAMETUMIA AKILI ZA KUAMBIWA WAKACHANGANYA NA ZAO! Safari hii M.K.W.E.R.E hana audience, ndio maana kaita Waandishi wa habari maana hao lazima waende kupata habari kesho wauze magazetini! Hata ile hotuba yake ya mwisho wa mwezi hata Walalahoi wa Vijijini walishaona ni usanii mtupu! M.k.w.e.r.e bwana? Ama kweli jamaa ni JANGA LA TAFA!leo halongi na wazee wa dar???
Alikuwa huko weekend iliyopita, hukuona magazeti mengi kesho yake yalitoa picha akiwa amejilaza kwenye mkeka wa Bi. Kizee (85) mmoja pale Msoga? Hako kabibi ndio kakuu ka benchi lake la ufundi! Huyu M.K.W.E.R.E kwa ndumba? Ndio maana anaendesha nchi kwa mazingaombwe!Kwani Bagamoyo ameenda lini mara ya mwisho? maana suprising kama hivi lazima 'wataalamu' wake kutoka Msoga wamshauri kwanza, zamani kidogo ilikuwa rahisi maana 'mlinzi' wake maalum Shekh Yahaya Hussein alikuwa anamtonya kwanza,
yote kwa yote tunaomba Source ya hizi taarifa.
Nategemea atazungumzia masuala yafuatayo
[1] Mgomo wa waalimu
[2] Matatizo ya TANESCO
[3] Mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi.
[4] Ikulu kuhusishwa na mateso ya Dr Ulimboka
[5] Sensa na kizungumkuti cha waIslam.
Alikuwa huko weekend iliyopita, hukuona magazeti mengi kesho yake yalitoa picha akiwa amejilaza kwenye mkeka wa Bi. Kizee (85) mmoja pale Msoga? Hako kabibi ndio kakuu ka benchi lake la ufundi! Huyu M.K.W.E.R.E kwa ndumba? Ndio maana anaendesha nchi kwa mazingaombwe!
Nategemea atazungumzia masuala yafuatayo
[1] Mgomo wa waalimu
[2] Matatizo ya TANESCO
[3] Mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi.
[4] Ikulu kuhusishwa na mateso ya Dr Ulimboka
[5] Sensa na kizungumkuti cha waIslam.
I swear hatakua na jipya, anaepinga apinge tu lakini msimamo wangu ndio huo kuwa hatasema lolote jipya
Alikuwa huko weekend iliyopita, hukuona magazeti mengi kesho yake yalitoa picha akiwa amejilaza kwenye mkeka wa Bi. Kizee (85) mmoja pale Msoga? Hako kabibi ndio kakuu ka benchi lake la ufundi! Huyu M.K.W.E.R.E kwa ndumba? Ndio maana anaendesha nchi kwa mazingaombwe!
huyu baba anapata shida kweli kuongoza daaah
Hapo patachimbika !