Rais Jakaya Kikwete arejea nchini

ma5.jpg


Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara alipowasili kutoka katika ziara rasmi ya siku nne nchini Oman.

ma6.jpg


Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumpokea leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara alipowasili kutoka katika ziara rasmi ya siku nne nchini Oman.

ma8.jpg


Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Jordan Rugimbana leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara alipowasili kutoka katika ziara rasmi ya siku nne nchini.
**Rugimbana na wenzake wanaonekana kutabasamu...and am here wondering..tabasamu hizo ni za kawaida as in welcome back Mr. President au ni tabasamu zilizojaa kebehi as in nchi inakwenda siko Mzee right under your nose?!
 
Hii tabia ya kupokeana is costing our nation, fedha za walipa kodi zinateketea bila huruma.
 
eti msafara wake ulipokelewa na mkuu wa mkoa wa dsm, mkuu wa polisi na mkuu wa majeshi....nahamu kama vile walipofika ikulu mkuu wa majeshi angemwambia kikwete kua enough is enough, its time to step down and call a general election..maana mpaka 2015 watu wengi sana watakua washapoteza maisha yao
 
mh rais amerud, tunaomba awatazame watu wake kwa macho mawili

UPDATE
Msafara wake umeongozana na makamu wa rais na IGP na ndio waliompokea Airport. sijui IGP ana maagzo gan ila natumaini JK amepewa hali halisi iliyopo

Shekhe wa Uamsho aliyejiteka alikuwa naye ameenda Oman kabla ya JK na Raisi wetu naye ametokea Oman nina video clip hapa anacheza ngoma ya kiarabu Oman yani sina swali. Hongera Raisi kwa kurudi home kwa mapumziko mafupi.
Simlaumu Raisi ila wanaomzunguka.
 
Hii tabia ya kupokeana is costing our nation, fedha za walipa kodi zinateketea bila huruma.
Hoja yako ni nzuri . Ila inapaswa kupitia katika Tawi. Halafu katika shina. Halafu ifike katika mkutano mkuu wa chama mkoani. Ndipo iunganishwa na zingine zipelekwe katika mkutano mkuu wa NEC mwishoni mwa mwaka kesho. Je umesahau huuu umwamba wa zamani wa chama chashika hatamu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom