Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani tunazidi kuchoka kifkra na kila kitu.....
Kila sector lazima ibadili hizi picha nasikia zinauzwa 15000/= sasa sijui hii tenda nani kapewa....
wapige tu nyengine .. maana hiyo picha ya zamani ngozi yake imepauka si kidogo lakini sasa navimafutamafuta ... uso unangara vizuri ... hata vishavu vimenona .... nitachangia shilingi 50 ....eeeeh maana apendeze hata kwenye noti awekwe tu .... tumechoka jamani eeeh .. wafanye wanavyotaka
Ninashauri tubadilishe utaratibu huu. Mahakama kama bunge ni mhimili mwingine wa serikali unaotakiwa kujitegemea. Ni muhimu vyombo vya mahakama na bunge viwe vinatumia coat of arms (ngao ya adam na eva) na bendera ya taifa tu, siyo sura ya rais; Vile vile kila kimoja kinatakiwa kuwa na nembo yake. Picha ya raisi iwe inatumika katika ofisi za serikali zinazonfaya kazi chini ya executive branch tu.