Rais Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

Mi cha mshara sijui, lakini nachojua raisi wetu analipwa per diem za kufa mtu! Ndio maana hapendi kukaa oficn, kila siku safari especially za nje!!
 
Kwa mujibu wa Jedwali la Pili la Sheria ya Kodi ya Mapato.........

EXEMPT AMOUNTS
(Made under section 10)
1.
The following amounts are exempt from income tax -
(a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public
funds in respect of or by virtue of the office as President;
 
Mshahara wa Rais wa Tanzania na marupurupu yake yote ni SIRI ya ikulu - huu ni utamaduni na sheria tuliojiwekea kwamba hakuna mamlaka yoyote nchini yenye nguvu ya kuhoji kitu chochote kinanchumhusu rais wetu likiwepo hili la Mshahara.
 
Hata kama atataja bado hautabainisha mapato yote anayopata.kwa nchi zetu hizi za kiafrika ambazoRais ni kama mfalme, Rais anaweza tumia fedha yoyote bila kuulizwaNa hata wasaidizi wake wakamsaidia kuweka mambo sawa.Hakuna utaratibu wala mwongozo. Ndio maana ni rahisi kujilimbikizia mali.Hapa hatuna rais tunae mfalme
 
Kuna wakati nilisikia basic ni 20m na zinaweka kwenye account maalum kwa miaka yake 5/10 , na katika kipindi chote cha utawala gharama zote za maisha kama mavazi, watumishi binafsi, nk analipiwa na walipa kodi
 
HII thread mwake mwake sanaaa hawa magamba watuambie walichonga sana walipoanzisha ya Dr.wa ukweli sasa leteni majibu hapa huyo rais wenu mshahara wake na posho na kodi mkishindwa mshirisheni gamba mwengine aliyeko Newyork kama ataweza, na ninyi vimagamba vidogo wa napi mliovamia hapa jf semeni,wala msikimbie mada.
 
Kwa mujibu wa Jedwali la Pili la Sheria ya Kodi ya Mapato.........

EXEMPT AMOUNTS
(Made under section 10)
1.
The following amounts are exempt from income tax -
(a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public
funds in respect of or by virtue of the office as President;

Even if is exempted from paying taxes but the employers (I mean taxpayers) have to know, it shouldn't be IKULU's secret. Being a secret mean there could be 'bad' things going around concerning it.
Some thanks to Hon. Zitto Kabwe for taking this matter to public!
 
me naona raisi wetu halipwi mshahara na hata kama analipwa atakuwa hautumii kwa sasa,., anajiwekea akiba ya uzeeni. kwa sasa anakula marupurupu,embu fikiri kusafiri kote huko na vikao vya kila siku posho kibao., mshahara wa nini hapo. Anyway, anaweza akawa analipwa sawa na wabunge
 
Ndugu wana JF,

Ni jambo la kawaida kwa wananchi kujua mapato ya Viongozi wa nchi hususani the highest office in the land, Viongozi wengi ambao hawana nia ovu huweka hadharani mapato yao na kodi walizolipa na wananchi wao kujua na tena kuonyesha mfano wa kuigwa kwamba hata raisi wa nchi analipa kodi na hatumii nafasi yake ya uraisi kwa manufaa yake na familia yake, kujilimbikizia mali na kutolipa kodi kwa kipato anachopata.

Hapa chini ni mfano wa Raisi wa Marekani Barack Obama ambae alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mapato yake kwa mwaka na kodi anayolipa bila kujali nafasi aliyonayo. mapato na kodi ya raisi obama na mkewe kwa mwaka ni:

Obama Taxes & Income: President & First Lady Paid $453,770 In Taxes On $1.7 Million Income
soma zaidi kwa kufuata link hii Obama Taxes & Income: President & First Lady Paid $453,770 In Taxes On $1.7 Million Income
Je ni kwa nini viongozi wa kiafrika wanakuwa na usiri sana kuhusu mapato yao na kodi wanazolipa, kwa nini viongozi wetu wasiwe wanatoa taarifa za mapato na malipo ya kodi kwa vyombo vya habari ili kuonyesha mfano? Na wananchi kujua vyanzo vya mapato ya raisi.

Je ni watanzania wangapi wanaojua mshahara wa raisi Jakaya Kikwete na marupurupu yote na posho ni kiasi gani? Je raisi JK na familiya yake wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?

Lazima tujenge uwazi na kujua mambo muhimu kama mshahara wa raisi na kama raisi wetu analipa kodi au la! Ningependa kuwakilisha hoja yangu ili tuweze kudadisi na kujua mapato na malipo ya kodi kwa raisi wetu.

Natoa shukrani kwa Zitto Kabwe kwa kutufahamisha mapato ya wabunge na posho zote but tunataka kujua wabunge wetu pia wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?

kwanza alipwe mshahara kwa kazi gani?au kwa ajili ya kuchekacheka na kujipaka mapoda...
 
Kwa mujibu wa Jedwali la Pili la Sheria ya Kodi ya Mapato.........

EXEMPT AMOUNTS
(Made under section 10)
1.
The following amounts are exempt from income tax -
(a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public
funds in respect of or by virtue of the office as President;

Hii inajibu sehemu ya pili ya swali,msingi wa swali bado..je, Rais analipwa mshahara na posho kiasi gani?
 
Kwa mujibu wa Jedwali la Pili la Sheria ya Kodi ya Mapato.........

EXEMPT AMOUNTS
(Made under section 10)
1.
The following amounts are exempt from income tax -
(a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public
funds in respect of or by virtue of the office as President;

Huu ndio 'ustaarabu' wa nchi zetu za kiafrika. Rais anakuwa wa kwanza kukataa kodi (tena wanaweka kwenye sheria ili msiwabugudhi!). Suala la kujiuliza ni je ana mapato mengine yeye kama mtu binafsi na vipi amekuwa akilipa kodi.
 
Je ni watanzania wangapi wanaojua mshahara wa raisi Jakaya Kikwete na marupurupu yote na posho ni kiasi gani? Je raisi JK na familiya yake wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?

Hilo swali si ajabu hata Bi mkubwa Salma mwenyewe hajui... sembuse Watanzania wengine, hio ni tamaduni yetu wa TZ kuficha mishahara yetu, ni issue delicate in discussions na hata Mtanzania wa kawaida hataki admit kiwango cha mshahara wake... But kwa upande wa Raisi na viongozi wetu kweli uwazi muhimu... Issue ya kusema kua inatakiwa kua wazi na kuhusishwa labda ianze saizi (ingawa hata tukiambiwa hatutaambiwa malimbikizi na akiba za benki overseas...)

Alafu Kabwe malengo yake ni questionable saana, kaona pale ambapo anaweza kataa posho ndo atoe taarifa?? Kaanza lini kuingia Bungeni?? Anakata posho na impact yake ni kubwa bungeni na kaonesha mfano mzuri saana... but kama yupo genuine na lengo lake apeleke katika taasisi alotaja zipelekwe.. akipeleka mwenyewe hio posho zinapungua kazi yake??
 
we kilaza sana ina maana analipwa na tra...pole sana kwa kutetea vitu ambavyo mwenyewe huviamini...utumwa.
 
Mshahara wa Rais wa Tanzania na marupurupu yake yote ni SIRI ya ikulu - huu ni utamaduni na sheria tuliojiwekea kwamba hakuna mamlaka yoyote nchini yenye nguvu ya kuhoji kitu chochote kinanchumhusu rais wetu likiwepo hili la Mshahara.
Zamani nakumbuka enzi za Mwl Nyerere mishahara yote ilikuwa wazi, kuanzia Raisi mwenyewe, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wabunge, wakuu wa majeshi yote nk; nk. Kujua mishahara ya watumishi wa serikali ni haki ya mwananchi kuanzia Raisi, maana hiyo itaondoa utata na kuepuka ufisadi. Kwani kutaja mali za viongozi nia yake nini, si kuondoa utata wa harufu ya ufisadi????????? Hivyo kama kuna wahusika hasa Ikulu HR wamwage data zote hapa, pamoja na mkuu wa utumishi serikalini alete data hapa watu waelewe!!!!!!!!!!
 
Kwa mujibu wa Jedwali la Pili la Sheria ya Kodi ya Mapato.........

EXEMPT AMOUNTS
(Made under section 10)
1.
The following amounts are exempt from income tax -
(a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public
funds in respect of or by virtue of the office as President;
s) gratuity granted to a Member of Parliament at the end of each term;(exempted too)na bado wanataka maposho ya vikao​
 
Wakuu hakuna haja ya kumjibu huyu Faizafoxy kwa sababu huwa anatuondoa kwenye mada kuu na kuanza kumwaga pumba tu humu ndani.
 
Waulize TRA
faizafoxy umeulizwa swali nawe badala ya kujibu unasukumia kwa TRA? nadhani ingelikuwa rahisi hivyo nadhani wana jf wangelijua
 
Back
Top Bottom