Yakuza
Senior Member
- May 22, 2011
- 114
- 43
WanaJF
Mbona Rais J.K ana kigugumizi cha kuwateua wakuu wa Mikoa na Wilaya? Je, pengine amekubali kuwa wakuu hawa ni mzigo kwa taifa? Au ni nani awemo na asiwemo nalo ni tatizo? Au ni tatizo la kifedha?
Ni takribani mwaka mmoja sasa, mikoa na wilaya nyingi hazina viongozi hawa......kulikoni? Hakika haijawahitokea Uhuru NCHI ikawa hivi.
Mwenye habari za uhakika......tafadhari tujuzeni.
Mbona Rais J.K ana kigugumizi cha kuwateua wakuu wa Mikoa na Wilaya? Je, pengine amekubali kuwa wakuu hawa ni mzigo kwa taifa? Au ni nani awemo na asiwemo nalo ni tatizo? Au ni tatizo la kifedha?
Ni takribani mwaka mmoja sasa, mikoa na wilaya nyingi hazina viongozi hawa......kulikoni? Hakika haijawahitokea Uhuru NCHI ikawa hivi.
Mwenye habari za uhakika......tafadhari tujuzeni.