kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,594
- 6,626
Yale Yale ya wivu wa kike aisee, yeye ni rais wa nchi kwenda msibani kwa rais mwenzake ni haki yake. Cdm JK anawasumbua sana aisee mtakoma
Eti kwenda msibani kwa rais mwenzie ni haki yake! Hivi hilo bichwa lako linatope au? Mbona unaonekana kutetea ujuha unaofanywa na mtu mzima mwenye akili timamu! Hivi kuna jana gani ya kuzunguka huku na huko ili hali nchi iko kwenye critical point kiasi hiki,,mwambie rais wako safari hazitatui changamoto zinazomkabili! Na wewe tumia kichwa chako kufikiri sawia,,,