MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Moja ya vitu ambavyo Rais mpya anahofiwa ni zile pesa za watu maskini waliokopa ili wavune kupitia DECI, na serikali ikazificha na haijulikani zilipo.
Rais Slaa akifika tu ikulu wale mafisadi wa kuiba zile hela watakuwa na hali ngumu sana
naona matumbo yao sasa moto.
Na nionavyo mimi ni serikali yenyewe ndo ilikula, na ndiyo maana wanamwogopa Dr. wa ukweli
Rais Slaa akifika tu ikulu wale mafisadi wa kuiba zile hela watakuwa na hali ngumu sana
naona matumbo yao sasa moto.
Na nionavyo mimi ni serikali yenyewe ndo ilikula, na ndiyo maana wanamwogopa Dr. wa ukweli