maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Ndugu, wewe unanufaika na wizi nini?? Hivyo vya kijinga ni vipi hivyo- huu uzi ni wakijinga? Au elimu waliokupatia hawa hawa wezi ndio inalikuelimisha? Na huyo mtoto wako wa kufikirika unajua kinachomliza ni nini?
Wengine wamekusaidia hapo chini tumia JF kujifunza sio kuleta mawazo mgando.
Raisi wa nchi anapokuwa Mwizi. Swali zuri sana, na jibu lake ni kuwa Wezi katika nchi hiyo watakuwa ni watu wanaoheshimika na kuonekana mfano wa kuigwa.
mkuu usipate taabu kwa jinsi alivyoandika huyu buku 7 inaonyesha ni mshirika na mnufaika. siku zao zinahesabika na zaidi rais wao mwiz anazidi kuwafumbua macho raia wa kawaida kubwa tusikate tamaa vita ya ukombozi iendelee mwaka jana wameonja joto la jiwe lilikuwa kubwa kweny serikal za mitaa UKAWA wamefanya uharibif mkubwa kwa ccm.