Thanks mkuu huyu jamaa amenimixMkuu uko kwenye baa ipi??? Na umekunywa pombe ainagani???? Kama umekunywa PINGU nakushauri uziache zinakuharibu akili, angaliasasa hii unayoleta hapa. Oh Back to the point.............
1. Tanzania hatuna cheo ulichotutajia hapo.........
2. Uwe makini unapokuwa unasikiliza news ili uelewe vema...........
3. Uwe unaingia jamvini mara kwa mara kuona kuna mpya gani........
4. By the way tukusaidie JK kateua makatibu TAWALA wa mikoa na hii kitu ipojamvini tangu mchana leo........
Once again, Umekunywa pombe gani??? Nenda kalale now! Ulevi Noumer!!!!!!!
nisaidie link ya hyo thread