DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Baada ya maandamano ya zaidi ya wananchi 5,000 wa kata ya Moshono na Mlangarini mwanzoni mwa mwezi huu kwenda kwa mkuu wa mkoa Magesa Mulongo kufuatilia fidia iliyoota mbawa ama kurejeshewa eneo lililotekwa na JWTZ hatimaye Mkuu huyo wa mkoa amewaeleza wananchi hao jana kuwa rais ameamua kuwarejeshea wananchi eneo hilo.
Shukran kwa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na mbunge wa Arusha mjini Bw Lema waliokuwa nyuma ya hiyo 'land protest' ndivyo wananchi wanavyosema...
Shukran kwa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na mbunge wa Arusha mjini Bw Lema waliokuwa nyuma ya hiyo 'land protest' ndivyo wananchi wanavyosema...