TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Kwenye msiba nako mnajadili watu wakaeje! Hatujapata kuwa na Rais anayehudhuria misiba ya watu wake kama huyu baba. Mengine yote msemeni mnavyotaka. Huyu Rais wetu wa sasa anajali sana matatizo ya kijamii ya WATANZANIA wenzake..........
........wenye maslahi kwake