Kama alivyokaa Mkapa au?
HAAA, jaman haya ya kweli jaman?Rais yuko huru kufanya lolote msibani......hata kulala
Are you serious??Kwenye msiba nako mnajadili watu wakaeje! Hatujapata kuwa na Rais anayehudhuria misiba ya watu wake kama huyu baba. Mengine yote msemeni mnavyotaka. Huyu Rais wetu wa sasa anajali sana matatizo ya kijamii ya WATANZANIA wenzake.
haamini hiyo swala inayopigwa hapo.Hapo kwa JK hakuna Tatizo.Labda huyo mzee wa Kwanza Kushoto, amerelux sana.
mbona hawa wasio waislamu wote wameshikilia nyeti zao utafikiri kuna freekick inapigwa bana?
Kwenye msiba nako mn ajadili watu wakaeje! Hatujapata kuwa na Rais anayehudhuria misiba ya watu wake kama huyu baba. Mengine yote msemeni mnavyotaka. Huyu Rais wetu wa sasa anajali sana matatizo ya kijamii ya WATANZANIA wenzake.
Tatizo kila kitu kwake ni masihara hapo najua alikuwa anagongagonga magoti wakati wenzie wametulia.
Hapa alikuwa hajalala mkuu, alikuwa anaipigia chabo mokasini yake!Rais yuko huru kufanya lolote msibani......hata kulala