kidini zaidi
:yawn: Wameishiwa hao, pumba tupu. bora ukalale kijana.Kwani hivyo alivyokaa amekosa staha gani? Naona anapiga dua hapo, kuna tatizo gani?
Jama vitu vingine ni mambo ya kidini.......yaani nyie kila kitu mnakiangalia kwa jicho la siasa? Badilikeni
Msiba wa kiongozi mkubwa tu. Mwenyekiti wa TAPA, mjumbe wa CC ya CCM. Haujawahi kuhudhuria misiba ya kijeshi?hive mavazi ya CCM hadi msibani