Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Sijajua bado vyombo vya usalama nchini utaratibu wa kuongoza misafara ya wakubwa serikalini hasa Rais katika vyombo vya usafiri. Mapokeo na utaratibu wa nchi nyingi duniani Rais anaposafiri kwa kutumia usafiri wa gari hukaa passenger seat ya kati wakati wanausalama wake hukaa viti vya mbele na kama kuna viti zaidi nyuma ya rais. Sasa hii picha naona Rais kakaa kiti cha mbele, hii imekaaje?