Abdillahjr
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 694
- 318
Si ajabu hata wa kwetu atakuwa anaficha chini ya godoro.
Jamaa yeye huwa anazkimbizia Msoga kila weekend,akiwa safarini basi 4i2 huwa anakusanya kwa matumizi yake na wafanyabiashara ubia!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ajabu hata wa kwetu atakuwa anaficha chini ya godoro.
Si ajabu hata wa kwetu atakuwa anaficha chini ya godoro.
Lioneni hekalu la mfalme Mutharika la huko kwao Ndata.
Lioneni hekalu la mfalme Mutharika la huko kwao Ndata.
Huyu kafundishwa ni kina Mkapa ambao hadi Ardhi zenye madini wamejimilikishia kama kule muheza na Kiwira,
yet another political smearing campaign tu!!!
Haya bhana ila sijui bongo tukianza kuwasachi itakuaje maana waziri anakutwa na four milioni za matembezi
Mutharika, kurithishana na maburungutu ya dola
Chanzo: www.mpayukaji.blogspot.com
UROHO NA UNAFIKI WA MARAIS WETU
Habari zilizoripotiwa na gazeti la Nyasa Times ni kwamba mabegi na masanduku yaliyojaa pesa yalikutwa kwenye chumba cha rais wa zamani wa nchi hiyo marehemu Bingu wa Mutharika. Habari zinaendelea kusema kuwa pesa hiyo ilikamatwa na polisi baada ya kugundua kuwa ndugu wa marehemu walikuwa wakipanga kuihamisha pamoja na mali nyingine za serikali. Ni aibu kiasi gani. kwanza kwa rais kuficha pesa uvunguni mwa kitanda tena kwenye karne ya 21?
Ni aibu kiasi gani kitendo hiki kinapotendwa na rais tena msomi aliyebobea katika uchumi? Je huyu rais alikuwa ameelimika kweli? Je ni watawala wangapi wa kiafrika ni aina ya Mutharika? Je wanajifunza nini ingawa uwezo wao wa kujifunza siku zote ni mdogo? Muhimu ni kuwaambia wazi kuwa kila mficha maradhi kilio kitamfichua kama ilivyotokea kwa Mutharika. Ajabu wakati rais akilalia mamilioni ya dola na kwacha, mamilioni ya watu wasio na hatia wanakufa kwa magonjwa yanayotibika! Je namna hii kuna haja ya kuwa na rais ambaye kimsingi ni mwizi anayeitwa mheshimiwa? Kama rais wa nchi maskini kama Malawi isiyo na raslimali za kutosha anakutwa na mamilioni ya dola uvunguni mwa kitanda hao marais wa nchi zenye raslimali nyingi kama DRC na Tanzania wanalilia mabilioni kiasi gani? Kwa habari zaidiBONYEZA HAPA.
Lioneni hekalu la mfalme Mutharika la huko kwao Ndata.