Rais anapokosea kuushika mwenge!

Angeushika mwenge huku mkono wa kulia uko juu na kushoto chini, halafu kumpa mkono wa pongezi kapteni Ernest kwa kutumia mkono wa kulia, ina maana angekuwa amebakiwa kuushika mwenge upande wa chini kwa mkono mmoja wa kushoto usio na nguvu, na mwenge ungekosa balance na kuanguka au kumuangukia rais kabisa! Nadhani JK alikuwa sahihi, hata kama ni kinyume na taratibu za gwaride la mwenge.
Kwa hiyo hapo unajiona umetoa bonge la ufafanuzi??

Challenger kama sisi tunaweza kukuuliza kua kwa hiyo ilitakiwa mkono wa kulia ubaki chini ili asalimie na kushoto??
 
Natazama sherehe za kuuzima mwenge hapa TBC1 kule Shinyanga.
Rais alipokabidhiwa mwenge na Capt. Honest Erenest Mwanosa, aliushika huku mkono wa kulia ukiwa chini, wa kushoto juu, wakati kinyume chake ndo utaratibu.
Je, ni kuwa hajui utaratibu au kasahau?
Najua mwenge kwa wengi wetu kwa sasa ni jambo la kipuuzi, ila nimeguswa na Rais kukiuka utaratibu.

If at all you find the very idea of mwenge not objectionable...

Kwa nini kuwe na namna moja tu ya kushika mwenge? Hususan kama kuna watu wengine wanatumia mkono wa kushoto zaidi na wengine kulia zaidi?

What's next? Mtataka kila mtu aandikie na mkono wa kulia?

Criticism zisizo na msingi zinafanya hata zile za msingi zionekane suspect. Stop crying wolf where there is none, for the day will come when you will be faced with a real wolf and people will ignore your genuine cries.

Kuna vitu vya kumsema Kikwete. This is fluff.
 
Kujadili mambo ya kipuuzi kama mwenge ni kukosa kazi. Mimi hata kama angeuweka kichwani ingekuwa poa tu.
 
If at all you find the very idea of mwenge not objectionable...

Kwa nini kuwe na namna moja tu ya kushika mwenge? Hususan kama kuna watu wengine wanatumia mkono wa kushoto zaidi na wengine kulia zaidi?

What's next? Mtataka kila mtu aandikie na mkono wa kulia?

Criticism zisizo na msingi zinafanya hata zile za msingi zionekane suspect. Stop crying wolf where there is none, for the day will come when you will be faced with a real wolf and people will ignore your genuine cries.

Kuna vitu vya kumsema Kikwete. This is fluff.

kwa hiyo Kikwete ni left handed?
Km umewahi kuushika mwenge, wale jamaa wakimbizaji wanapokukabidhi, wanakwambia kabisa mkono wa kulia uwe juu.
Na kumbuka, kabla ya vyama vingi, mwenge ulikuwa chini ya TANU Youth League, kisha UVCCM, na JK kakulia mle, pia ni mjeshi. Je, hakupaswa kufuata taratibu?
Km anaupuuza kwenye kuushika, basi si waufute tu na kuuhifadhi museum!
 
kwa hiyo Kikwete ni left handed?
Km umewahi kuushika mwenge, wale jamaa wakimbizaji wanapokukabidhi, wanakwambia kabisa mkono wa kulia uwe juu.
Na kumbuka, kabla ya vyama vingi, mwenge ulikuwa chini ya TANU Youth League, kisha UVCCM, na JK kakulia mle, pia ni mjeshi. Je, hakupaswa kufuata taratibu?
Km anaupuuza kwenye kuushika, basi si waufute tu na kuuhifadhi museum!

Idea nzima ya kwamba kuna aina fulani ya kuushika mwenge ni ridiculous.

Ni sawa na kusema sahihi ya rais ni lazima ipigwe kwa mkono wa kulia, what if tunapata rais anayeandikia kwa mkono wa kushoto?

Tusipoangalia tutakosa ufanisi kwa kulazimisha protocol za kijinga. Huwezi kutegemea kila mtu aushike mwenge kwa namna moja, mkono wa kulia ukae juu na wa kushoto ukae chini bila kuangalia uzito mkubwa uko wapi na mkono gani una nguvu zaidi.

Hii inaonyesha hata huko jeshini kwetu unakosema Kikwete kapitia inaelekea huu mfumo wa kulazimisha vitu upo sana, silaha na vifaa vya kijeshi vinaagizwa kwa kufikiri watu wote wanatumia mkono wa kulia, in the process raia wenye kutumia mkono wa kushoto wanatengwa.

Mie sijawahi kushiriki superstistions za kukimbiza mwenge, lakini point ninayo i raise hapa imejikita kimsingi zaidi katika kuondokana na itifaki zisizo na msingi kuliko habari ya kukimbiza mwenge.

Ni kama vile unalazimisha "mkono wa kula ni wa kulia tu" hata kwa watu ambao wanatumia mkono wa shoto na hawawezi kutumia mkono wa kulia as efficiently.
 
Si nilisikia huo mwenge uko safarini kuelekea "jengo la makumbusho ya taifa" kule Dar Es Salaam?..umefikaje tena Shinyanga?
 
Mwenge jamani si kitu kibaya, tatizo ni siasa ndani ya mwenge, mpaka leo si tunaona olimpic unavyohawasisha? Sisi wazalendo wa kweli tulipata mafunzo ya kupokea mwenge nikiwa primary miaka ya themanini.

Mwenge ni nationwide witchcraft, ni moja ya mafumbo ya shetani ambayo wengi hawajaweza kuyafumbua, wanadhani unamulika mafisadi.
 
hata angeuacha ukadondoka sawa tu huo utaratibu unaousema umeandikwa wapi?
Tanzania ni nchi pekee duniani maskini inayotumia mwenge kwa garama kubwa kuzindua miradi yenye thamani isiolingana na garama za ukimbizaji wa huo mwenge sijui uchawi. HII kitu ni ya kuchoma moto hautufai kwa kizazi hiki cha science na teknlojia


siyo kweli watanzania tujifunie utaratibu wetu jamani isije ikawa kamam jkt baada ya kuondolewa ndo tunaona umuhimu wake kwa hamasa ya utanzania mwengu ndiyo mahali pake
 
ebu tupange bila kujali itikadi za kisiasa vijana,kwa wazee mwenge unakuja tunakesha kujadili maendeleo lakini kabla tunazindiua miradi ambayo tumechangia kwa fedha yetu na tumeisimamia na baada ya hapo tunapanga mwka ujao lengo letu ni nini ,mwenge siu mbaya
 
Huo mwenge ni UCHAWI na LAANA kwa nchi.
Mwenge ni Kinyago sawa na sanamu ambazo zinaleta maafa juu ya ardhi ya nchi.

Tokea walipouwasha kumetokea ajali nyingi sana za magari na vyombo vingine.
Hata uchomaji wa majumba ya ibada ni malaana ya mwenge yanayokumbatiwa na ccm.

Nashauri ukija hata utawala mwingine wasijaribu hatj kuuweka makumbusho, wautupe baharini, samaki wakazalie humo.
 
hivi mtu anakaa kuaangalia hadi mwenge unashikwaje!!!kweli watanzania tuna muda wa kuchezea,hata sitaki kuusikia huo mwenge wenyewe
 
Ukweli husemwa:

Pamoja na kuwa kiswahili siyo lugha ya Mama wala Baba yangu, lakini watu hawataki kuelewa nini maana ya neno 'kujitakia' katika hiyo sentensi.

Rais alikuwa anamaanisha kuwa, ukimwi unaepukika kama jamii itaamua kuuepuka. Hii ni pamoja na kuzifuata zile njia ambazo wataalamu wa ugonjwa wa ukimwi wameziainisha. Tatizo watu wanafikili sentensi hii aliitumia akiwalenga tu watu wanaoambukizwa kwa njia ya ngono.

Si kuna njia pia zinazotumika kuepuka ambukizo la mama kwenda kwa mtoto au kutumia vifaa vyenye ncha kali na kuziba mianya ya viwanda kutengeneza ARV ya kiwango cha chini('fake')

Kwangu mimi alichokisema ni sahihi tatizo tu ni kuwa, wakati mwingine Rais Kikwete anaongea kama mwananchi wa kawaida wakati yale anayoyasema ni majukumu yake kama kiongozi mkuu wa nchi (Rais)

Ukizisikiliza hotuba zake, wakati mwingine utashindwa hata kuelewa nani ni Rais na nani anayeongea.

Njia za maambukizi ni pamoja na yale ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na matumizi ya vifaa vyenye ncha kali vilivyotumiwa au kuambukizwa na yule mwenye virusi kisha kutumiwa na mwingine asiye na virusi.
Je haya maambukizo katika mazingira haya ni ya kujitakia?
Raisi hana taarifa kamili.
Je anajua wenye virusi wananyweshwa ARV 'fake'?
 
kwa karne hii bado unaona mwenge ni kitu cha kujivunia?
una faida gani kwa sasa kama sio mradi wa wachache wanaoutumia kujipatia kipato
na pia umechangia kwa kiasi kikubwa maambukizi ya ukimwi pale watu wanapokesha na shahidi zipo nyingi
garama iliotumika kuukimbikiza ingejenga shule na hospitali ngapi?
nadhani BIgman we ni mdau unaeneemeka na huu mwenge.
siyo kweli watanzania tujifunie utaratibu wetu jamani isije ikawa kamam jkt baada ya kuondolewa ndo tunaona umuhimu wake kwa hamasa ya utanzania mwengu ndiyo mahali pake
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom