Hebu mpongezeni aliyeteuliwa na tumwombee kila la kheri atende kazi aliyopewa. tuache mambo ya udini hapa. nadhani wenye kujadili dini mahala pa kazi ni wazembe na wenye upeo mdogo wa kifikra. Ni hao wanaodhani kuwa macho yao yanapoishia kuona ndiyo mwisho wa dunia.
Tufikirie mambo yenye kutujenga, hebu tuainishe sehemu ambazo zina shida ambayo inatakiwa IAG aanzie.
Kwa mfano aanzie kwenye PAYE ya TRA zimeliwa na akina na nani na wamechukuliwa hatua gani,
mwingine ongeza sehemu nyingine zenye shida....
Tuwe positive thinkers badala tu ya kuwa great thinkers (you can be a great thinker but retrogressively always and you add nothing to the community)
Tufikirie mambo yenye kutujenga, hebu tuainishe sehemu ambazo zina shida ambayo inatakiwa IAG aanzie.
Kwa mfano aanzie kwenye PAYE ya TRA zimeliwa na akina na nani na wamechukuliwa hatua gani,
mwingine ongeza sehemu nyingine zenye shida....
Tuwe positive thinkers badala tu ya kuwa great thinkers (you can be a great thinker but retrogressively always and you add nothing to the community)