Rais amchagua Abdala Mtonga kuwa Internal Auditor General

Unajua kazi za Internal Audit au unaongea! Pitia public finance act ya 2001 kipengele namba 16:bange:
Unahisi sifahamu nini maana ya internal audit? Unapata wapi jeuri ya kunitukana na hunifahamu? Jaribu kuwa na heshima next time. Unaongea theories (Act nayo hasa ya Tanzania ni theory tu nothing more) mimi ninaongea practicals.
 
Anafanya uteuzi wa maustaadh chapchap kabla katiba haijafanyiwa marekebisho kumzuia kuteua hovyo hovyo!

kabla ya uteuzi wake alikua imamu wa msikiti, si ndio? Hoja dhaifu kutolewa na jf ndio maana chadema itaporomoka kama jiwe litokalo kwenye mlima ulio na mtelemko mkali! Hii nchi sio ya kanisa kwamba kila uteuzi uwe kwa mkristo, watu watapewa kazi kutokana na utendaji wao na misingi ya utawala bora, kama mnataka waislamu wasiwepo kabisa kwenye serikali subirini padre atakaposhinda urais hapo zamani za kare!
 
Mbona hamkuyasema hayo Mkapa alipokuwa Raisi, au kwa kuwa alikuwa Mkristo mwenzenu!? Mfumo Kristo Bwana! Mtu anakuwa na Chuki bila sababu kwa sababu rais Muislamu! Nchi hii yetu sote rais akiwa muislamu ataamua kadri ya uwezo wake na akiwa mkristo ataamua kwa kadri ya uwezo wake!:happy:

hivi nlikua nasikia watu wakisema kwamba mkapa alimchagua sumaye sababu aweze kum control au hukusikia hivyo,me hii post sikuleta hapa kwajili ya kuonyesha kikwete ni mdini bali kusema kwamba amemchangua mtonga kama kuwapa taarifa,plz usinileteee udini wako ndugu yangu.
 
Kikwete mdini sana kila mwenye post kubwa Mwislamu hakika huyu ni Juha Kalulu.

hizo post kubwa unazosema ni zipi? Acha ujinga hii nchi c ya Kanisa wala Msikiti,kila mtu ana haki ya kuongoza provided he/she meets the credentials!
 
Kikwete mdini sana kila mwenye post kubwa Mwislamu hakika huyu ni Juha Kalulu.

udini unkufanya uwe kipofu, jk hajawahi kubagua kidini si kwenye serikali au kwenye chama
haya tuangalie post kubwa ambazo rais anateua kisha ulinganishe na unachosema
1. Waziri mkuu
2. Msimamizi wa uchaguzi
3. Waziri wa mambo ya nje
4. Dpp
5. Katibu mkuu kiongozi
6. Mkuu wa kitengo cha habari ikulu
7. Nafasi aliyokuwa makamba jr
8. Nafasi aliyokuwa Makamba Sr
9. Mkurugenzi NHC
10. Mkuu wa JWTZ
11. CAG
12. Makamo mwenyekiti ccm
13. Katibu mkuu uvccm
14. Katibu itikadi na uenezi
15. Katibu uchumi na fedha
16. Mwanasheria mkuu wa serikali
17. Mkuu wa Takukuru
naomba wadau muendelezo wa post zaidi ili mwenzetu au wale wasiotaka kuelewa maana
 
Internal auditor, wao huwa ni washauri tu, kwahiyo sidhani kama ataogopa fanya kazi ya kutoa ushauri
 
hebu tuache huu uzandiki.... udini udini udini, my foot

tuache watu wafanye kazi na sisi tusaidie taifa kwa kufanya kazi

Hivi Lowassa dini gani na rostam dini gani?? haijalishi wewe ni dini gani ila kama ni fedhuli basi utakua fedhuli na kama si fedhuli basi hautakua hivyo
twaweza kwenda kuanzia akina malima, ditto, balali, mramba
 
Mwislam Safi, ulamaa aneyejua kazi yake na misingi ya uislam, hongera JK kwa uteuzi huu.
Kuna thread ilipa hapa salama saana kwakuwa uteuzi ule wa Manaibu katibu Mkuu waislam hawakuonekana. Kuna haja ya kujifunza kuelezea sifa za mtu na si dini yake.
 
Kikwete mdini sana kila mwenye post kubwa Mwislamu hakika huyu ni Juha Kalulu.
Wewe ndio mwehu zaidi. Pos kubwa unazijua wewe. Unamjua CAG ni nani? Na alichaguliwa na nani? Kuna mengine huyajui na wala huhitaji kuchangia. Kukimbilia kuchangia bila kujua ni kuonyesha ujuha wako
 
hebu tuache huu uzandiki.... udini udini udini, my foot

tuache watu wafanye kazi na sisi tusaidie taifa kwa kufanya kazi

Hivi Lowassa dini gani na rostam dini gani?? haijalishi wewe ni dini gani ila kama ni fedhuli basi utakua fedhuli na kama si fedhuli basi hautakua hivyo
twaweza kwenda kuanzia akina malima, ditto, balali, mramba

Mkuu umenena. Watu badala ya kuangalia sifa za mtu tunaangalia majina/dini. Watanzania wengi ni ama wakristo au waislam na wateule wa rais wengi watatoka kwenye hizo dini. Sisi kama wananchi and thinkers tunatakiwa kujadili sifa za mtu na kutoa kasoro zake na siyo tu kusema huyu ni mwislamu ama mkristo, huo ni upofu.
 
I concur with u,I think for crucial position lyk this,they should advertise so any1 with qualification can apply! Then the final 3 myb should be taken to him so he cn nominate 1 person who will b approved by the parliament! Just to stop him from nominating pple he cn control n intimidate

Mkuu hapa tatizo ni katiba. Rais amepewa madaraka ya kuteua watu weeengi sana katika idara mbalimbali za serikali. Ndiyo maana tunataka apunguziwe madaraka wenye katiba mpya ili baadhi ya post kwa mfano CAG, IAG, n.k zifuate mchakato unaousema.

Wiki hii nimekuwa nikiangalia TV channel moja ya Kenya (CITIZEN TV) nikaona wanaoomba kazi ya ujaji mkuu (CJ) wanahojiwa hadharani tena mbele ya vyombo vya habari na mahojiano yanarushwa live na TV. Na hii ni baada ya Katiba mpya na Kibaki alivyojaribu kumteua Jaji Mkuu bila kufuata utaratibu watu walikuja juu na mahakama na uteuzi ukatenguliwa na sasa mchakato unafuata; waombaji wanahojiwa kisha majina nadhani matatu yatapelekwa kwa uteuzi na bunge litaidhinisha. Hapa nikaona Wenzetu wa Kenya wameenza kuvuna matunda ya katiba mpya.
 
udini unkufanya uwe kipofu, jk hajawahi kubagua kidini si kwenye serikali au kwenye chama
haya tuangalie post kubwa ambazo rais anateua kisha ulinganishe na unachosema
1. Waziri mkuu
2. Msimamizi wa uchaguzi
3. Waziri wa mambo ya nje
4. Dpp
5. Katibu mkuu kiongozi
6. Mkuu wa kitengo cha habari ikulu
7. Nafasi aliyokuwa makamba jr
8. Nafasi aliyokuwa makamba sr
9. Mkurugenzi nhc
10. Mkuu wa jwtz
11. Cag
12. Makamo mwenyekiti ccm
13. Katibu mkuu uvccm
14. Katibu itikadi na uenezi
15. Katibu uchumi na fedha
16. Mwanasheria mkuu wa serikali
17. Mkuu wa takukuru
naomba wadau muendelezo wa post zaidi ili mwenzetu au wale wasiotaka kuelewa maana

ni mwislamu gani anaweza kukaa kwenye hizo position???
hebu anza kupanga safu ya uongozi ya kiislamu, katika position ulizozisema nadhani hao waislamu waliosoma hata 20 hawafiki ili kuweza kumeet demand ya ku take hizo position
 
Ni nani amesema kwamba tatizo letu ni kutokufanyika kwa audit? Hili si kweli kwani kila mwaka CAG anareport upotevu wa mabilioni na hakuna kinachofanyika, reports zake tunaishia kufungia vitumbua Kwamtogole.Tungekuwa serious kufanyia kazi reports na recommendations za CAG wala tusingehitaji ofisi mpya ya internal audit, huu ni upotevu wa pesa usio na sababu.

Hapa ndio mzizi wa matatizo yote ya kifedha na kiutendaji..
 
Kama Jakaya anataka kufanya replacement kwenye hiyo nafasi anatakiwa kutambua kwamba
so far hicho ndio kitengo pekee cha serikali ambacho wananchi wanaimani nacho, akiamua kukivuruga,
atafupisha siku zake magogoni
 
Back
Top Bottom