Rais Akisema Uongo

Panga la Yesu

JF-Expert Member
Apr 27, 2009
234
20
Tunaomba Mwongozo!

Endapo Itajulikana kuwa Rais kawadanganya Watanzania je wananchi wafanyaje?
Tulimsikia Mhe. Wassira ( Waziri mwenye Dhamana) Naamini alikuwa akizungumza kwa niaba ya raisi akisema mambo ambayo CDM wanayahamasisha ni mambo ambayo Rais hawezi kuyatekeleza, lakini ukienda kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni Mambo hayo hayo yaliyopo, hivyo tuseme rais aliyatumia kuombea Kura tu angali anajua hayatekelezeki na ss Watanzania tukampa kura zetu tukimwamini.
Inapofika hapo sisi wananchi tufanyeje?

Nawasilisha!
 
Tunaomba Mwongozo!

Endapo Itajulikana kuwa Rais kawadanganya Watanzania je wananchi wafanyaje?
Tulimsikia Mhe. Wassira ( Waziri mwenye Dhamana) Naamini alikuwa akizungumza kwa niaba ya raisi akisema mambo ambayo CDM wanayahamasisha ni mambo ambayo Rais hawezi kuyatekeleza, lakini ukienda kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni Mambo hayo hayo yaliyopo, hivyo tuseme rais aliyatumia kuombea Kura tu angali anajua hayatekelezeki na ss Watanzania tukampa kura zetu tukimwamini.
Inapofika hapo sisi wananchi tufanyeje?

Nawasilisha!

Binafsi sikumpa kura maana nilimshtukia
 
ofkoz Watanzania tumezoea kudanganywa, nafikiri hasa sababu yake ni sisi wenyewe kuogopa opole wetu. Mmmh! lakini kuzoea ugonjwa haiwi sababu ya mtu kupona kabisaaa hilo tunaamini, hivi Tunisia walisubiri mpaka raisi akachoka kuongoza eee? sasa sisi tunasubiri nini?
 
Tunaomba Mwongozo!

Endapo Itajulikana kuwa Rais kawadanganya Watanzania je wananchi wafanyaje?
Tulimsikia Mhe. Wassira ( Waziri mwenye Dhamana) Naamini alikuwa akizungumza kwa niaba ya raisi akisema mambo ambayo CDM wanayahamasisha ni mambo ambayo Rais hawezi kuyatekeleza, lakini ukienda kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni Mambo hayo hayo yaliyopo, hivyo tuseme rais aliyatumia kuombea Kura tu angali anajua hayatekelezeki na ss Watanzania tukampa kura zetu tukimwamini.
Inapofika hapo sisi wananchi tufanyeje?

Nawasilisha!

Issue hapa ni kwamba aliyoyaahidi utekelezaji wake ni kwa muda wa miaka mitano sasa leo unapoona watu wanakurupuka kudai yatekelezwe ndani ya siku tisa kuna uongo gani hapo? Picha tunayojengewa ni kwamba kama angechukua mwingine, nchi hii ingegeuka ya asali na maziwa katika siku tisa? au miezi michache kama tunavyolazimisha itokee hapa sasa hivi? Hata Obama yako ambayo hadi leo hajafanikiwa kuyatekeleza licha ya ukweli kwamba uchaguzi uko mwaka ujao na huyo ni kiongozi wa taifa kubwa lenye uchumi mkubwa na vyanzo vya uhakika vya mapato.

Ifike wakati tuwe realistic kwamba yapo makosa ambayo yanastahili kusemwa na kupewa msisitizo ili viongozi wetu wayatupie macho na kuyatatua, mfano suala la kupanda holela kwa bei ya bidhaa. Hili ni kero ambayo sehemu ya utatuzi wake uko kwenye mamlaka ya viongozi wetu. Tujiulize tu hata hao wabunge huko kwenye majimbo yao wameshatekeleza ahadi gani mpaka sasa? Wakati wengi kati yao hawajatekeleza kile walichoahidi, mimi si mmoja wa wale walio tayari kuwaadhibu au kuwahukumu kwamba hawafanyi lolote kwani nafahamu stock taking hufanywa mwisho, siyo mwanzo. Hata Mnyika wetu ambaye tulimchagua kwa kura nyingi na matumaini kibao, bado hajatekeleza yale aliyoahidi au yale tuliyomkabidhi lakini sina shaka kwamba sasa ni mapema kusema kwamba ameshindwa. Tutoe constructive criticism siyo kutoa hukumu na adhabu kali kiasi hiki!
 
Anatakiwa angalau atekeleze 50% upward kwa ahadi alizotaja ili tumuelewe sasa kama hana mkakati wowote wa kutuendeleza ainabidi awajibiswe kazi inakuwa imemshinda.
 
Tunaomba Mwongozo!

Endapo Itajulikana kuwa Rais kawadanganya Watanzania je wananchi wafanyaje?
Tulimsikia Mhe. Wassira ( Waziri mwenye Dhamana) Naamini alikuwa akizungumza kwa niaba ya raisi akisema mambo ambayo CDM wanayahamasisha ni mambo ambayo Rais hawezi kuyatekeleza, lakini ukienda kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni Mambo hayo hayo yaliyopo, hivyo tuseme rais aliyatumia kuombea Kura tu angali anajua hayatekelezeki na ss Watanzania tukampa kura zetu tukimwamini.
Inapofika hapo sisi wananchi tufanyeje?

Nawasilisha!

Inasikitisha sana kama ulimwamini na kumpa kura yako,watanzania wanashangaa kwanini JK ni raisi na hawakumchagua
 
Tunaomba Mwongozo!

Endapo Itajulikana kuwa Rais kawadanganya Watanzania je wananchi wafanyaje?
Tulimsikia Mhe. Wassira ( Waziri mwenye Dhamana) Naamini alikuwa akizungumza kwa niaba ya raisi akisema mambo ambayo CDM wanayahamasisha ni mambo ambayo Rais hawezi kuyatekeleza, lakini ukienda kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni Mambo hayo hayo yaliyopo, hivyo tuseme rais aliyatumia kuombea Kura tu angali anajua hayatekelezeki na ss Watanzania tukampa kura zetu tukimwamini.
Inapofika hapo sisi wananchi tufanyeje?

Nawasilisha!

mi sikumwamini thats y sikumpa kura,wewe kama ulimpa ulijpendkeza,pole yako,unamchaguaje mtu asiyeguswa na matatzo yako?
 
Issue hapa ni kwamba aliyoyaahidi utekelezaji wake ni kwa muda wa miaka mitano sasa leo unapoona watu wanakurupuka kudai yatekelezwe ndani ya siku tisa kuna uongo gani hapo? Picha tunayojengewa ni kwamba kama angechukua mwingine, nchi hii ingegeuka ya asali na maziwa katika siku tisa? au miezi michache kama tunavyolazimisha itokee hapa sasa hivi? Hata Obama yako ambayo hadi leo hajafanikiwa kuyatekeleza licha ya ukweli kwamba uchaguzi uko mwaka ujao na huyo ni kiongozi wa taifa kubwa lenye uchumi mkubwa na vyanzo vya uhakika vya mapato.

Ifike wakati tuwe realistic kwamba yapo makosa ambayo yanastahili kusemwa na kupewa msisitizo ili viongozi wetu wayatupie macho na kuyatatua, mfano suala la kupanda holela kwa bei ya bidhaa. Hili ni kero ambayo sehemu ya utatuzi wake uko kwenye mamlaka ya viongozi wetu. Tujiulize tu hata hao wabunge huko kwenye majimbo yao wameshatekeleza ahadi gani mpaka sasa? Wakati wengi kati yao hawajatekeleza kile walichoahidi, mimi si mmoja wa wale walio tayari kuwaadhibu au kuwahukumu kwamba hawafanyi lolote kwani nafahamu stock taking hufanywa mwisho, siyo mwanzo. Hata Mnyika wetu ambaye tulimchagua kwa kura nyingi na matumaini kibao, bado hajatekeleza yale aliyoahidi au yale tuliyomkabidhi lakini sina shaka kwamba sasa ni mapema kusema kwamba ameshindwa. Tutoe constructive criticism siyo kutoa hukumu na adhabu kali kiasi hiki!

mimi simwamini jeykei na timu yake,hata wakae miaka mingap?nothng wil b done,uraic c sehem ya kujfunzia,ye anasema on last 5 yrz alikua anajfunza,lol!sasa leo,?though mda bdo,bt nimeona matatzo meng ambayo sikuyatarajia,hasa garama za maisha,kupandsha umeme?nauli?gas?mafuta?aaaaaa,
 
Issue hapa ni kwamba aliyoyaahidi utekelezaji wake ni kwa muda wa miaka mitano sasa leo unapoona watu wanakurupuka kudai yatekelezwe ndani ya siku tisa kuna uongo gani hapo? Picha tunayojengewa ni kwamba kama angechukua mwingine, nchi hii ingegeuka ya asali na maziwa katika siku tisa? au miezi michache kama tunavyolazimisha itokee hapa sasa hivi? Hata Obama yako ambayo hadi leo hajafanikiwa kuyatekeleza licha ya ukweli kwamba uchaguzi uko mwaka ujao na huyo ni kiongozi wa taifa kubwa lenye uchumi mkubwa na vyanzo vya uhakika vya mapato.

Ifike wakati tuwe realistic kwamba yapo makosa ambayo yanastahili kusemwa na kupewa msisitizo ili viongozi wetu wayatupie macho na kuyatatua, mfano suala la kupanda holela kwa bei ya bidhaa. Hili ni kero ambayo sehemu ya utatuzi wake uko kwenye mamlaka ya viongozi wetu. Tujiulize tu hata hao wabunge huko kwenye majimbo yao wameshatekeleza ahadi gani mpaka sasa? Wakati wengi kati yao hawajatekeleza kile walichoahidi, mimi si mmoja wa wale walio tayari kuwaadhibu au kuwahukumu kwamba hawafanyi lolote kwani nafahamu stock taking hufanywa mwisho, siyo mwanzo. Hata Mnyika wetu ambaye tulimchagua kwa kura nyingi na matumaini kibao, bado hajatekeleza yale aliyoahidi au yale tuliyomkabidhi lakini sina shaka kwamba sasa ni mapema kusema kwamba ameshindwa. Tutoe constructive criticism siyo kutoa hukumu na adhabu kali kiasi hiki!

Issue ni kuwa Jk amekuwa magogoni for more than 5yrs, lakini aliyo ahidi tangu 2005 hajayakamilisha na kabeba mengine 2010, siyo kwamba anapimwa tangu Dec 2010 ila ni tangu 2005. He is not a performer, ameingia kwa gia za uongo.
 
Mkuu Mbopo,
Umekosea njia. Sidhani kama rais Kikwete aliahidi kwenye kuomba kura kuwa ataua watu Arusha, ata fanya uchaguzi wa hila Arusha, Atalipa Dowans fidia n.k
Madai ya Chadema yanatokana na matendo yanayofanywa na CCM kwa sasa. Ebu ona walisema lazima DOWANS ilipwe lakini watu wanamaisha magumu sana ... hapo ndo hoja ya siku 9 inapoingia. Hoja HII inaingia kunusuru ugumu wa maisha walionayo watanzania lakini kama wewe unaona ni sawa DOWANS walipwe na maisha yaendelee kuwa magumu kisha tumpe muda Rais wa kutekeleza ahadi zake .... hapo nasema no!!! Yeye atekeleze ahadi zake lakini asitusababishie ugumu wa maisha bila sababu zozote. Majibu yanayotolewa leo na Chiligati kuhusu malipo ya DOWANS ni tofauti kabisa na taarifa ya aliyoitoa baada ya kikao cha ikulu na hakuna popote walipoisha kiri kuwa taarifa hii inafuta taarifa zingine zote za nyuma. Hakuna taarifa kama hiyo - wana miendelezo tu ya kutoa taarifa!!!
Issue hapa ni kwamba aliyoyaahidi utekelezaji wake ni kwa muda wa miaka mitano sasa leo unapoona watu wanakurupuka kudai yatekelezwe ndani ya siku tisa kuna uongo gani hapo? Picha tunayojengewa ni kwamba kama angechukua mwingine, nchi hii ingegeuka ya asali na maziwa katika siku tisa? au miezi michache kama tunavyolazimisha itokee hapa sasa hivi? Hata Obama yako ambayo hadi leo hajafanikiwa kuyatekeleza licha ya ukweli kwamba uchaguzi uko mwaka ujao na huyo ni kiongozi wa taifa kubwa lenye uchumi mkubwa na vyanzo vya uhakika vya mapato.

Ifike wakati tuwe realistic kwamba yapo makosa ambayo yanastahili kusemwa na kupewa msisitizo ili viongozi wetu wayatupie macho na kuyatatua, mfano suala la kupanda holela kwa bei ya bidhaa. Hili ni kero ambayo sehemu ya utatuzi wake uko kwenye mamlaka ya viongozi wetu. Tujiulize tu hata hao wabunge huko kwenye majimbo yao wameshatekeleza ahadi gani mpaka sasa? Wakati wengi kati yao hawajatekeleza kile walichoahidi, mimi si mmoja wa wale walio tayari kuwaadhibu au kuwahukumu kwamba hawafanyi lolote kwani nafahamu stock taking hufanywa mwisho, siyo mwanzo. Hata Mnyika wetu ambaye tulimchagua kwa kura nyingi na matumaini kibao, bado hajatekeleza yale aliyoahidi au yale tuliyomkabidhi lakini sina shaka kwamba sasa ni mapema kusema kwamba ameshindwa. Tutoe constructive criticism siyo kutoa hukumu na adhabu kali kiasi hiki!
 
Mkuu Mbopo,
Umekosea njia. Sidhani kama rais Kikwete aliahidi kwenye kuomba kura kuwa ataua watu Arusha, ata fanya uchaguzi wa hila Arusha, Atalipa Dowans fidia n.k
Madai ya Chadema yanatokana na matendo yanayofanywa na CCM kwa sasa. Ebu ona walisema lazima DOWANS ilipwe lakini watu wanamaisha magumu sana ... hapo ndo hoja ya siku 9 inapoingia. Hoja HII inaingia kunusuru ugumu wa maisha walionayo watanzania lakini kama wewe unaona ni sawa DOWANS walipwe na maisha yaendelee kuwa magumu kisha tumpe muda Rais wa kutekeleza ahadi zake .... hapo nasema no!!! Yeye atekeleze ahadi zake lakini asitusababishie ugumu wa maisha bila sababu zozote. Majibu yanayotolewa leo na Chiligati kuhusu malipo ya DOWANS ni tofauti kabisa na taarifa ya aliyoitoa baada ya kikao cha ikulu na hakuna popote walipoisha kiri kuwa taarifa hii inafuta taarifa zingine zote za nyuma. Hakuna taarifa kama hiyo - wana miendelezo tu ya kutoa taarifa!!!


Natamani ungejua kwamba hata kutamka tu hiyo Dowans inaniuma, sembuse kulipwa hata senti moja na hii mimi nimeshatoa comments zangu mara nyingi. Mimi nasisitiza kwamba Dowans ni wezi na wanakostahili kwenda ni jela. Suala ninalolizungumzia hapa ni kudhani kwamba utekelezaji wa ahadi ni kama mtu kuambukizwa kisonono ambacho unaambukizwa leo na kesho asubuhki unaanza kuugua. Watu ni lazima waelewe kwamba katika nchi kama zetu hizi ambazo bado mambo mengi yanategemea uwezo wa wengine, utekelezaji wa ahadi ni kitu cha muda mrefu na mimi nina hakika yako mambo yatatekelezwa lakini it is too early to think that JK or any body else can genuinely deliver on all the promises within a few months of his coming to power. Ukweli ni lazima uelezwe bila kujali unafurahisha au la, afterall sisi siyo wanamuziki ambao kazi yetu ni kufurahisha washabiki wetu.
 
Back
Top Bottom