hawa jamaa hawana uchungu na nchi hata kidogoInauma sana dr slaa alishinda urais(2010) lkn walimchakachua,dr wa ukweli usife moyo 2015 urais wako ebu mwangalie mnyika 2005 walimchakachua lkn hakukata tamaa 2010 nadhani unajua,,,,maisha ni magumu kupindukia eh mungu dr uingie madarakan 2015 cement na mabati viwe 5000 tumechoka kupanga na kulala kwenye nyumba za tembe,ona sasa nondo 12mm sh elfu 20 kweli imbombo ngafu hadi huyu jamaa akitoka madarakani cement itakua 25,000/=
kaumbuka.
ni wagonjwa wa akili kivipi wakati walimpigia kura, nani kawatakaza na nyie kusema mshindi alikuwa nani? ni nini kinawakosesha ujasiri wa kutoa maoni yenu?Watu wanaofikiria slaa alishinda 2010 ni wagonjwa wa akili.
Watu wanaofikiria slaa alishinda 2010 ni wagonjwa wa akili.
Vijana wa nchi gani? Kama unazungumzia Tanzania sawa kwasababu nchi nyingine wameisha amka miaka mingi iliyopita. Hapa TANU,bdae mwanae CCM wapo madarakani miaka 50 sasa!!! Ni rekodi barani Afrika!!Vijana tuamue