MNAMBOWA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,051
- 359
Tutajie yanayokupendeza katika hii seriakali iliyoko madarakani Mkuu! Unasoma magazeti? Unazisoma hoja hapa JF? Toka lini umejiunga? Hebu jaribu kutafuta za miaka y nyuma soma zote kwanza, labda kuanzia 2006/8 hivi halafu urudi kutetea hoja yako.
sipendi kukariri, hoja zangu natoa kulingana na wakati au suala lililopo mezani, kuhusu kujiunga kwangu jf hata kama ni leo lakini ninachochangia si mawazo ya mtu mwingine ni ya kwangu mwenyewe,, nasoma sana magazeti na kuyatafakari kwa kina natambua hoja zote zina mlengo gani na zipi hazi egemei upande mwingine,, yaliyofanywa na ccm ni mengi kwanza ni hii jf kuwa huru na mengine ambayo unanufaika nayo ambayo unayapata kwa uhuru,, hata huyo lema wako amepewa uhuru wa mdhamana kwa kuwa anacheza filamu muache akamilishe hz Clips zitakazo wasaidia katika kampeni zenu. Nina mengi ya kukuelimisha hata kama nimeingia jf leo, omba coments zangu zote hapo jf utagundua nn napenda watanzania tuwe. kwani CCM niye2 naCDM ni ye2 pia, vita yetu ni matatizo yanayoikabili nchi ye2, kwani mafisadi walipo chadema wao wana haki? Hapana tunapinga vitendo viovu popote pale ndani ya CCM , CDD, CUP , TLP, NCCR na taasiri zote. Cpendi lema andelee kukaa gerezani lakini asiachiwe kwa kuwa yeye ni Cdm afate taratibu.