Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
nadhani hakuna anaependa kufanyiwa dhulma ,ila tatizo misingi ya kujitetea au kutetea haki zako ,coz vyombo vya sheria vya kutetea sheria za wananchi vyote viko pamoja na serikali na rushwa mbele ,ndio maana watu wanakuwa hawajui nn wafanye ,,kama kuta kuwa na mfumo kama ule wa waengereza kueka citizen advice bureau,, sehemu ya kutetea wananchi na haki zao,maybe ita saidia ,ila isiwe chini ya serikali iwe taasisi binafsi ,ambayo itakuwa na wanasharia walio kuwa wanajali haki za binaadamu
wahida inabidi tuendelee kujifunza namna ya kuzitambua haki zetu na jinsi ya kuzidai na kuzitetea badala ya kuviamini vya siasa...
Last edited by a moderator: