Wakusini
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 805
- 609
Habari nilizozipata kutoka kwa chanzo cha uhakika ni kuwa wananchi wa Ikwiriri rufiji wamefunga barabara iendayo Mtwara,na fujo zikiendelea madai ikiwa ni kama yale ya WANA SONGEA kuwa kuna mauaji ya raia wasio na hatia yanaendelea na jeshi la polisi kutochukua hatua,kituo cha polisi kipo hatarini kupigwa kibiriti!!! Taarifa zaidi!!!!!!!!
NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!
NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!