Raia wa Uholanzi wakamatwa Uwanja wa Ndege KIA na tumbili hai 61

RUCCI

JF-Expert Member
Oct 6, 2011
1,701
1,714
Raia wawili wa Uholanzi wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa kutaka kusafirisha jumla ya tumbili hai 61

Walikuwa wanataka kuwasafirisha kuelekea nchini Albania.

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwakamata raia hao. Hali hii imepelekea Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof Jumanne Magembe kumsimamisha kazi Mkurugenzi msimamizi wa wanyama pori Charles Mulokozi kwa kutoa vibali vya kusafirisha wanyama kwenda nje.

Kuhusu kumsimamisha kazi Mkurugenzi msimamizi wa wanyama pori Charles Mulokozi, Waziri Magembe amesema "Jana usiku tumekamata ndege ambayo ilikuwa inasafirisha nyani, inaonekana ni biashara inayofanywa kwa hiyo amesimamishwa kazi, uchunguzi ufanywe ili tuone hili jambo la kusafirisha wanyama nje ya nchi limefanywa kiasi gani na ni nani anafanya.
 
Sticked red cross sign on their cages...they were going for further treatment overseas
Going for further treatment does it mean that we don't have animal specialists in Tanzania?What are the role of having BVM graduates from SUA in Tz?.Also It's a joke and very fun that KIA nowadays it as become the airport for transporting our pride, I think something must be done at KIA and also for wildlife officials in northern tourism areas.
 
halafu hawa wanaokamatwa na hawa wanyama mbona kesi zao siziskii zikinguruma aisee?

Asubuhi nimesikia kwenye mapitia ya magazeti, kuna mwanakijiji mmoja (raia) amekutwa na nyama ya mnyama pori amehukumiwa miaka 20 jera. Hawa wanakutwa na tumbili 61 tena hai unaweza usisikie kesi au hata ukisikia mwisho wake hutausikia, labda sasa kipindi hiki cha JPM, maana na wale twiga hai si walipita hapo hapo KIA.
 
Going for further treatment does it mean that we don't have animal specialists in Tanzania?What are the role of having BVM graduates from SUA in Tz?.Also It's a joke and very fun that KIA nowadays it as become the airport for transporting our pride, I think something must be done at KIA and also for wildlife officials in northern tourism areas.
We all have a clear understanding about the trending of African governments and governance towards the white pigs...they tend to place them as first class citizens in this galaxy, what a stupidity thoughts and silly reasoning
Hating this with all guts
 
Raia wawili wa Uholanzi wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa kutaka kusafirisha jumla ya tumbili hai 61

Walikuwa wanataka kuwasafirisha kuelekea nchini Albania.

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwakamata raia hao.
Hadi mtu uone anasafirisha tumbili 61 tena uwanja ndege wa kimataifa ujue ana vibali alali si bure.
 
Tumbili wasafiri kwenye siti ya eropleni?
Am just kidding,mara nyingi wanyama wanao ruhusiwa kusafirishwa ni paka na mbwa na kuna utaratibu wa kufuata ikiwamo kuwaweka kwenye kisanduku maalumu na wanakaa chini ya siti yako au mbele ya siti yako,lakini wakati mwingine wanaweza wekwa kwenye eneo la ndege la mizigo chini ya uangalizi maalumu bila kudhurika,hila kwa ngedere na jamii nyingine uwekwa kwenye eneo la mizigo la ndege na siyo kwenye cabin ya abiria.
 
Back
Top Bottom