Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ni kwa sababu ya aibu ya anguko la uchumi lililopelekea nchi kuomba mkopo European Union na World Bank.
Chama kimepata 15% tu ya kura. chaliiiiiiiiiiiiiii.
Sisi huku hujisifu pale tunapopewa mikopo au kusamehewa madeni. Raia wa nchi zingine hiyo ni aibu ambayo adhabu yake ni kwenye masanduku ya kura tu.
Chama kimepata 15% tu ya kura. chaliiiiiiiiiiiiiii.
Sisi huku hujisifu pale tunapopewa mikopo au kusamehewa madeni. Raia wa nchi zingine hiyo ni aibu ambayo adhabu yake ni kwenye masanduku ya kura tu.