Raia Mwema Forbidden Edition - Will it come out tomorrow?

Wakuu mpaka sasa saa kumi kasoro dakika 7 gazeti la Raia mwema halijaonekana mjini Arusha.Tafadhali waliopata bahati watujuze kwa mapana na marefu habari zilizoko ndani ya RaiaMwema.
 
ashakumu si matusi wamekula wamevimbiwa sasa wameanza kushuta ni mashuzi tuu! pls jenerali and your team i know you can do something to publish your news paper!
 
just another interesting observation: kwenye page ya mwisho ya raia mwema la leo chini kabisa pale panaposema kwamba gazeti hili limeprintiwa na "kampuni fulani" panaonyesha kabisa kuwa pamefutwa..........

Ni baada ya kuhama printer kutoka Jamana kwenda Printech...... ni hatari sana hii nchi tunaelekea kubaya na tusishangae kusikia maajabu zaidi.
Ndiyo mzee. Lakini nimeshitushwa na habari moja kuandikwa na gazeti la mafisadi kuwa eti EL ameanza kuchafuliwa na gazeti fulani kama ilivyo desturi yao tangu miaka iliyopita. Cha ajabu nimekuta story ya utata ya EL kwenye raia mwema. Inawezekana walijua kinachoendelea

Kaburunye, inaonekana Mtanzania walipewa nakala usiku ili waandike story kuwawahi Raia Mwema wakijua halitatoka leo labda hadi kesho
 
Wakuu mpaka sasa saa kumi kasoro dakika 7 gazeti la Raia mwema halijaonekana mjini Arusha.Tafadhali waliopata bahati watujuze kwa mapana na marefu habari zilizoko ndani ya RaiaMwema.

Watu wa Arusha nadhani litakuwa limeingia jioni hii... Mutalipata tu
 
Lipo mtandaoni mkuu, lishukie fasta hapa Raia Mwema - Muungwana ni Vitendo

Sasa ninaamini kwamba kweli kulikuwa na juhudi za makusudi za kulipiga pini gazeti letu Pendwa lisiingie mitaani. Kwanza, inashangaza Mtanzania kuwa na habari ya ukurasa wa mbele inayoichakachua lead story ya Raia Mwema wakati magazeti yote ni ya Siku hiyo hiyo na hiyo habari haijaandikwa na gazeti lolote kabla ya hapo!

Hapo maana yake ni kuwa mafisadi walipata fununu ya habari ambayo ingekuwa ukurasa wa mbele wa Raia Mwema na mbio mbio wakaandika Counter-attack yao.

Kingine ni kwamba, kwenye kumbukumbu zangu za karibu sikumbuki kama Raia Mwema ililiishawahi kuwa mtandaoni siku ile ile ambayo linatoka, Jumatano. Kwa kawaida gazeti hili huwekwa mtandaoi siku moja ama mbili baada ya kuwa mitaani.
Ni wazi kwamba Wapiganaji wetu hawa walifahamu kuhusu njama za kulipiga pini gazeti ili litangulie kutoka la Mtanzania kwanza lakini wao wakawazidi kete mafisadi kwa kuliingiza mtandaoni Leo leo! As I said. Keep it Up, Raia Mwema. Give Mafisadiz a run for their (our!) Vijisenti... and Scandals! We are behind You.
 
We have had the privilege of knowing the content of this newspaper and we are absolutely sure it will ruin some happy faces tomorrow. It is one of the best investigative reporting ever attempted by a Tanzanian media. We hope that there will be a way to have the newspaper out tomorrow even in a very limited quantity.

Too general to be believable.....................Where are the details arising from the privleges of a preview perusal............................No even a tidbit .........................
 
Dalili za udikteta zinaanzia katika kuunyonga uhuru wa habari! Huu ni mlolongo ulioanzia na kosa la kuchakachua kura, halafu kinafuata kuwanyamazisha wale watakolalamika foul! Kisha kuwa eliminate wasio kubali kunyamazishwa..... the story will go on and on...Serikali ya Tanzania iko katika ukingo wa kuingia katika mchezo ambao kujinasua ni shida sana. Ukishaanza na dhulma itabidi ueendelee kudhulumu ili kufukia dhulma ya kwanza na ya pili na ya tatu mpaka utakuwa mdhulumu aliye kubuhu. Yaani dikteta... Njia pekee ni kukiri dhulma ya kwanza na kujisahiihisha! Kikwete break the vicious circle now or else you will have to eliminate all who oppose you and eventually one day end up in the Hague!

I THINK HE WONT END UP IN THE HAGUE RATHER, KILLING HIS RELATIVES PROBABLY HIS WIFE AND SONS:angry: :target: DO YOU KNOW WHY? BECAUSE AT ONE TIME THEY ARE GOING TO OPPOSE WHAT HE IS DOING TO OTHER OPPOSERS AND BECAUSE HE STARTED THAT SIN THEN IT WILL BE A CONTINUATION!
 
Back
Top Bottom