RAIA MWEMA: Bastola ya kigogo UVCCM yatoboa tumbo mwanafunzi wa CBE

kaimu218.jpg

Benno Malisa
Kaimu Mwenyekiti wa UVCCM

BASTOLA ya kigogo wa makao makuu ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mjini Dar es Salaam, imemjeruhi tumboni mwanafunzi wa Chuo cha Biashara Dodoma (CBE), Raia Mwema limeelezwa.
Habari za uhakika zinaeleza kwamba mtu mmoja anayetajwa kuwa dereva wa kigogo huyo, alikwaruzana na mwanafunzi huyo Emmanuel James (30) eneo la Sinza, Mugabe, Dar es Salaam karibu na Hoteli ya City Style.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, wakati wa tukio hilo kigogo huyo hakuwapo kwenye gari ambalo aliacha bastola yake na dereva aliitumia kuwafyatulia risasi vijana waliomhoji sababu ya kuwamwagia maji machafu.
“Baada ya vijana hao kupiga kelele za kwa nini wamemwagiwa maji machafu, dereva huyo ‘alipaki’ gari na kuanza kuwafokea vijana hao na walipojibizana naye alifyatua risasi mbili hewani na baadaye moja kumlenga tumboni Emmanuel James,” kinaeleza chanzo cha habari.

Tukio hilo ambalo limetokea saa saba usiku wa Novemba 30, 2011, limeibua maswali mengi baada ya kuwapo taarifa za kutokamatwa kwa wahusika wala silaha iliyotumika katika tukio hilo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa (kipolisi) Kinondoni, Camilius Wambura, hakuwa katika nafasi ya kuzungumzia tukio hilo kutokana na kuwa katika majukumu mengine ya Kitaifa. Juhudi za kumpata Emmanuel kujua hali yake na kuelezea kuhusiana na tukio hilo hazikuweza kufanikiwa wikii hii, huku wahusika wakielezwa kutamba kutochukuliwa hatua zozote.

Taarifa ya tukio hilo zimeripotiwa katika kituo cha polisi cha Urafiki Dar es Salaam, ambako imeelezwa kwamba hadi sasa wamekuwa wazito hata kuwahoji wahusika na kufanya uchunguzi zaidi kuhusu silaha iliyotumika.
 
kaimu218.jpg

Benno Malisa
Kaimu Mwenyekiti wa UVCCM

BASTOLA ya kigogo wa makao makuu ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mjini Dar es Salaam, imemjeruhi tumboni mwanafunzi wa Chuo cha Biashara Dodoma (CBE), Raia Mwema limeelezwa.
Habari za uhakika zinaeleza kwamba mtu mmoja anayetajwa kuwa dereva wa kigogo huyo, alikwaruzana na mwanafunzi huyo Emmanuel James (30) eneo la Sinza, Mugabe, Dar es Salaam karibu na Hoteli ya City Style.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, wakati wa tukio hilo kigogo huyo hakuwapo kwenye gari ambalo aliacha bastola yake na dereva aliitumia kuwafyatulia risasi vijana waliomhoji sababu ya kuwamwagia maji machafu.
“Baada ya vijana hao kupiga kelele za kwa nini wamemwagiwa maji machafu, dereva huyo ‘alipaki’ gari na kuanza kuwafokea vijana hao na walipojibizana naye alifyatua risasi mbili hewani na baadaye moja kumlenga tumboni Emmanuel James,” kinaeleza chanzo cha habari.

Tukio hilo ambalo limetokea saa saba usiku wa Novemba 30, 2011, limeibua maswali mengi baada ya kuwapo taarifa za kutokamatwa kwa wahusika wala silaha iliyotumika katika tukio hilo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa (kipolisi) Kinondoni, Camilius Wambura, hakuwa katika nafasi ya kuzungumzia tukio hilo kutokana na kuwa katika majukumu mengine ya Kitaifa. Juhudi za kumpata Emmanuel kujua hali yake na kuelezea kuhusiana na tukio hilo hazikuweza kufanikiwa wikii hii, huku wahusika wakielezwa kutamba kutochukuliwa hatua zozote.

Taarifa ya tukio hilo zimeripotiwa katika kituo cha polisi cha Urafiki Dar es Salaam, ambako imeelezwa kwamba hadi sasa wamekuwa wazito hata kuwahoji wahusika na kufanya uchunguzi zaidi kuhusu silaha iliyotumika.
Nani atamkamata wakati bosi wawakamataji ni mteule wa mwenyekiti wa NEC na mwenye bastola ni mjumbe! They are above the law japo haijatamkwa rasmi tu. Vijana hawa pia wamejaaliwa matusi ukiingia anga zao na ukawa si mwanamagamba au uwe mwnamagamba lakini CV yako ndogo utajuta! Who ever goes up must come down, it is just a matter of time!

 
Nani atamkamata wakati bosi wawakamataji ni mteule wa mwenyekiti wa NEC na mwenye bastola ni mjumbe! They are above the law japo haijatamkwa rasmi tu. Vijana hawa pia wamejaaliwa matusi ukiingia anga zao na ukawa si mwanamagamba au uwe mwnamagamba lakini CV yako ndogo utajuta! Who ever goes up must come down, it is just a matter of time!

Ingawa vijana wale walifanya kosa la lugha chafu iliyomkasirisha yule driver, lakini tukio la kutumia silaha kali kumjeruhi mtu haliwezi kuachwa hivi hivi, kosa ni kosa halijalishi nani kalitena.
 
Ingawa vijana wale walifanya kosa la lugha chafu iliyomkasirisha yule driver, lakini tukio la kutumia silaha kali kumjeruhi mtu haliwezi kuachwa hivi hivi, kosa ni kosa halijalishi nani kalitena.

Mkuu uko sahihi kabisa mimi binafsi i always talk and rely much on what i see and not what has just been said! Kulindana kupo sana hasa kwa kundi flani la wanaotafuna keki ya nchi. Mwaka 2004 babu yangu alikuwa na ugomvi wa shamba na mama mmoja bahati mbaya yule mama akakatwa mapanga akafa, babu yangu kafia jela hata kesi yake ikiwa haijasikilizwa, mwanae ambaye ni my uncle anaishi South Africa alikuja kushughulikia suala la kumtoa mzee ikashindikana baada ya kuambiwa murder haina dhamana! Kwayaliyotokea kwa Ditto unaweza kuniambia Tanzania hakuna dhamana kwa murder case au kuna wenye sifa za kupewa dhamana na wasio nazo? Ukipata jibu la hili swali ndipo utajua kwa nini hajakamatwa mtu.
 
Hivi maelezo yako yanajustify dereva kutumia bastola na kujeruhi watu? Halafu unahoji eti dereva ana kosa gani? Wewe kumbe bure kabisa! Wanaokutegemea unawashauri nini?Mijitu mingine hovyo!!.

Wanaonitegemea wana akili timamu ya kuweza kuepuka sehemu ambayo inaweza kuwaletea matatizo kama vilee kutembea mbali na makorongo ya maji ili wasimwagiwe na magari yanapopita. Huyu dereva asilaumiwe kwaki kama alivyosema Mwita 25 kuwa hatujui sababu iliyomlazimisha atumie silaha ambayo siyo yake, inawezekana hao vijana walitaka kumshambulia na hivyo akatumia hiyo silaha kujihami wasimdhulu yeye; mara nyingi tumeona madereva wakiuawa na watu mara ajari zinapotokea.He must have done it in self defence.Hata hivyo this does not mean that the police should not investigate the incident!
 
Haya matukio huonekana ya kawaida sana kwenye serikal REGEREGE!...tunakoelekea hata mtoto wa mtendaj wa kijj naye atakuwa above the law..but one day yes heshima itarudi tu!
 
Kama kesi ipo mahakamani tusijadili mwenendo wa kesi, lakini tunaweza kujadili suala la bastola ya kigogo ilivyotumika kutoboa tumbo la mwanafunzi.

Tusubiri wiki ijayo
Raia Mwema watatujuza yale watakayokuwa wamefatilia.
 
Back
Top Bottom