Ananunua ndege wakati hiki na kile hatuna...

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,216
113,512
Kutokuridhika kwa binadamu ni jambo la kiasili.

Kunung'unika nako ni ada ya mja.

Bila ya kupoteza sana muda ngoja nizame moja kwa moja kwenye hoja.

Baada ya ununuzi wa hizi ndege za shirika letu la ndege, kumekuwepo na hoja kadha wa kadha zinazohoji eti kwa nini mheshimiwa MTUKUFU rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Joseph Magufuli pamoja na serikali yake wananunua ndege ilhali sehemu nyingi za Tanzania hazina viwanja vya ndege, eti hatuna sukari ya kutosha, hatuna sijui mashine gani mahospitalini, na kadhalika na kadhalika.

Sasa nami hebu ngoja niulize [maswali] yangu:

Hivi, kwani wakati ule tulipokuwa na zile ndege zetu za ATC, tulikuwa na viwanja vingapi vya ndege huko mikoani na wilayani?

Je, wakati ule hospitali zetu za serikali zilikuwa na kila kitu? Bugando ilikuwa na mashine zote zilizokuwa zinahitajika? Muhimbili nayo ilikuwa imejitosheleza kwa kila kitu?

Sukari, unga, sabuni, na mahitaji mengine nayo tulikuwa tumejitosheleza nayo vizuri tu?

Hizo Fokker Friendship [nadhani walikuwa nazo mbili au zaidi] za ATC ziliweza kutua hata huku kwetu Ikungulyabashashi, Ng'wamapalala, Lamadi, Madale, na Nyangokolwa?

Nchi zingine zilizo na mashirika yao ya ndege zenyewe zimetatua matatizo yake yote kabla ya kuamua kuwa na ndege zake zenyewe?

Huko Kenya kwa mfano, wao kila hospitali yao ina kila kifaa kilicho cha muhimu?

Sasa labda mimi kwa vile ni mbeba maboksi tu nisiye na elimu yoyote ile kubwa [niliishia kidato cha nne ambapo nilipata daraja la nne na pointi 30] ndo maana labda kwa kiasi fulani sizielewi hizo hoja za baadhi ya hao vipanga wanaozitoa.

Lakini nadhani mtu unaweza ukawa unatafuna jojo huku ukitembea na kuongea kwenye simu yako ukiwa unaelekea kwa Joji kwenda kula kiti moto au chipsi vumbi.
 
Nchi haina vipaumbele tuliambiwa kipaumbele ni viwanda lakini kichekesho wizara ya viwanda ikatengewa bilioni 88....

Tukabadili gia angani na kununua ndege za bilioni 61....

Wakati huo tunategemea kumwaga pesa kununua zingine......

Sijui viwanda na ndege ni kipi kitatoa Ajira za kutosha na kulipa kodi kubwa....

# only in black continent....
 
SAMAHANI MH RAIS
SAMAHANI MAMLAKA HUSIKA
SAMAHANI WASHAURI WA RAIS

Mh Rais leo umesema kuwa unazo hela za kununua ndege zingine mbili (NAOMBA NILIE KIDOGO hiiii hiiii hiii ng'aaa ng'aaa ng'aaa)

ni muda sasa umepita msd wanasema hawana hela za kuagiza Madawa (nalia tena hiiii hiii hiii hiii hiiii)

mwanangu wakambo hajachomwa sindano ya chanjo ile hospitali yetu ya kata haina (nalia tena hiii hiii hiii hiii)

kule kigoma kumetokea tetemeko
(KILA SIKU WAHANGA WANALALAMA KUWA HAWAJALIWI) (nalia tena hiii hiii hiii hiii)

KWANI MH HIZO NDEGE MPYA ZITAKUWA ZINABEBA MAITI AMA WAGONJWA WALIOKOSA MADAWA MAHOSPITALINI?

ama je kipaombele cha serikali hii ni ndege tu??

WAHESHIMIWA INAWEZEKANA NIMEWAZA VIBAYA HIVYO NISAMEHEWE BILA KUADHIBIWA
 
Kutokuridhika kwa binadamu ni jambo la kiasili.

Kunung'unika nako ni ada ya mja.

Bila ya kupoteza sana muda ngoja nizame moja kwa moja kwenye hoja.

Baada ya ununuzi wa hizi ndege za shirika letu la ndege, kumekuwepo na hoja kadha wa kadha zinazohoji eti kwa nini mheshimiwa MTUKUFU rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Joseph Magufuli pamoja na serikali yake wananunua ndege ilhali sehemu nyingi za Tanzania hazina viwanja vya ndege, eti hatuna sukari ya kutosha, hatuna sijui mashine gani mahospitalini, na kadhalika na kadhalika.

Sasa nami hebu ngoja niulize [maswali] yangu:

Hivi, kwani wakati ule tulipokuwa na zile ndege zetu za ATC, tulikuwa na viwanja vingapi vya ndege huko mikoani na wilayani?

Je, wakati ule hospitali zetu za serikali zilikuwa na kila kitu? Bugando ilikuwa na mashine zote zilizokuwa zinahitajika? Muhimbili nayo ilikuwa imejitosheleza kwa kila kitu?

Sukari, unga, sabuni, na mahitaji mengine nayo tulikuwa tumejitosheleza nayo vizuri tu?

Hizo Fokker Friendship [nadhani walikuwa nazo mbili au zaidi] za ATC ziliweza kutua hata huku kwetu Ikungulyabashashi, Ng'wamapalala, Lamadi, Madale, na Nyangokolwa?

Nchi zingine zilizo na mashirika yao ya ndege zenyewe zimetatua matatizo yake yote kabla ya kuamua kuwa na ndege zake zenyewe?

Huko Kenya kwa mfano, wao kila hospitali yao ina kila kifaa kilicho cha muhimu?

Sasa labda mimi kwa vile ni mbeba maboksi tu nisiye na elimu yoyote ile kubwa [niliishia kidato cha nne ambapo nilipata daraja la nne na pointi 30] ndo maana labda kwa kiasi fulani sizielewi hizo hoja za baadhi ya hao vipanga wanaozitoa.

Lakini nadhani mtu unaweza ukawa unatafuna jojo huku ukitembea na kuongea kwenye simu yako ukiwa unaelekea kwa Joji kwenda kula kiti moto au chipsi vumbi.
Mkuu, ebu fikiria vizuri. OK, umeongelea kwa kipindi kile, je unakumbuka idadi ya watu na uwiano wa mahitaji yao ya msingi.?
Leo Tanzania ina watu si chini ya milioni 45, je unahisi kuna uwiano wa mahitaji yao ya msingi, mfano kupata huduma bora za Afya, Malazi bora na Elimu bora.
Watu wanapanga foleni kila mahali siku hizi, sio hospital, kwenye mabenki, barabrani, baadhi ya maofisi ya umma.
Tuna matatizo mengi, sana na makubwa kuliko hata hilo la ndege.
Kwa mwando huu wa kuchagua vipaumbele vya maendeleo pasipo kufanya tafiti za kina na kutosha, tutabaki tunaruka sarakasi wakati bado tupo kwenye vazi la kanzu na msuli, kufaidisha wengine.
 
We Nyani ni ile post yangu ndio imekupa hamu ya kuandika haya!!! Ikiwa ndiyo nitakujibu.
Kutokuridhika kwa binadamu ni jambo la kiasili.

Kunung'unika nako ni ada ya mja.

Bila ya kupoteza sana muda ngoja nizame moja kwa moja kwenye hoja.

Baada ya ununuzi wa hizi ndege za shirika letu la ndege, kumekuwepo na hoja kadha wa kadha zinazohoji eti kwa nini mheshimiwa MTUKUFU rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Joseph Magufuli pamoja na serikali yake wananunua ndege ilhali sehemu nyingi za Tanzania hazina viwanja vya ndege, eti hatuna sukari ya kutosha, hatuna sijui mashine gani mahospitalini, na kadhalika na kadhalika.

Sasa nami hebu ngoja niulize [maswali] yangu:

Hivi, kwani wakati ule tulipokuwa na zile ndege zetu za ATC, tulikuwa na viwanja vingapi vya ndege huko mikoani na wilayani?

Je, wakati ule hospitali zetu za serikali zilikuwa na kila kitu? Bugando ilikuwa na mashine zote zilizokuwa zinahitajika? Muhimbili nayo ilikuwa imejitosheleza kwa kila kitu?

Sukari, unga, sabuni, na mahitaji mengine nayo tulikuwa tumejitosheleza nayo vizuri tu?

Hizo Fokker Friendship [nadhani walikuwa nazo mbili au zaidi] za ATC ziliweza kutua hata huku kwetu Ikungulyabashashi, Ng'wamapalala, Lamadi, Madale, na Nyangokolwa?

Nchi zingine zilizo na mashirika yao ya ndege zenyewe zimetatua matatizo yake yote kabla ya kuamua kuwa na ndege zake zenyewe?

Huko Kenya kwa mfano, wao kila hospitali yao ina kila kifaa kilicho cha muhimu?

Sasa labda mimi kwa vile ni mbeba maboksi tu nisiye na elimu yoyote ile kubwa [niliishia kidato cha nne ambapo nilipata daraja la nne na pointi 30] ndo maana labda kwa kiasi fulani sizielewi hizo hoja za baadhi ya hao vipanga wanaozitoa.

Lakini nadhani mtu unaweza ukawa unatafuna jojo huku ukitembea na kuongea kwenye simu yako ukiwa unaelekea kwa Joji kwenda kula kiti moto au chipsi vumbi.
 
SAMAHANI MH RAIS
SAMAHANI MAMLAKA HUSIKA
SAMAHANI WASHAURI WA RAIS

Mh Rais leo umesema kuwa unazo hela za kununua ndege zingine mbili (NAOMBA NILIE KIDOGO hiiii hiiii hiii ng'aaa ng'aaa ng'aaa)

ni muda sasa umepita msd wanasema hawana hela za kuagiza Madawa (nalia tena hiiii hiii hiii hiii hiiii)

mwanangu wakambo hajachomwa sindano ya chanjo ile hospitali yetu ya kata haina (nalia tena hiii hiii hiii hiii)

kule kigoma kumetokea tetemeko
(KILA SIKU WAHANGA WANALALAMA KUWA HAWAJALIWI) (nalia tena hiii hiii hiii hiii)

KWANI MH HIZO NDEGE MPYA ZITAKUWA ZINABEBA MAITI AMA WAGONJWA WALIOKOSA MADAWA MAHOSPITALINI?

ama je kipaombele cha serikali hii ni ndege tu??

WAHESHIMIWA INAWEZEKANA NIMEWAZA VIBAYA HIVYO NISAMEHEWE BILA KUADHIBIWA
Na mimi nalia tena, hiiiiiiiiiiiiii..... ng'aaaaa, Uwiiiiiiiii.... Nchi inaongozwa kisiasa jamani ,badala ya uhalisia..... hiiiiii.......
 
Mkuu, ebu fikiria vizuri. OK, umeongelea kwa kipindi kile, je unakumbuka idadi ya watu na uwiano wa mahitaji yao ya msingi.?
Leo Tanzania ina watu si chini ya milioni 45, je unahisi kuna uwiano wa mahitaji yao ya msingi, mfano kupata huduma bora za Afya, Malazi bora na Elimu bora.

Hilo la uwiano kati ya mahitaji ya msingi na ununuzi wa ndege vinahusianaje?

Unataka kuniambia kipindi kile uwiano ulikuwa ni mzuri/ bora zaidi kuliko ilivyo hivi sasa?

Watu wanapanga foleni kila mahali siku hizi, sio hospital, kwenye mabenki, barabrani, baadhi ya maofisi ya umma.

Kwani enzi za ATC watu hawakupanga foleni? Watu walipanga foleni hadi kwenye maduka ya ugawaji nini hii kupanga foleni kwenye ofisi za RITA, kwa mfano?

Tuna matatizo mengi, sana na makubwa kuliko hata hilo la ndege.

Hayo matatizo makubwa hayakuwepo enzi za ATC?

Kwa mwando huu wa kuchagua vipaumbele vya maendeleo pasipo kufanya tafiti za kina na kutosha, tutabaki tunaruka sarakasi wakati bado tupo kwenye vazi la kanzu na msuli, kufaidisha wengine.

Na kwa mwendo huu wa kuponda tu kila kitu pasipo hata na sababu ya/za msingi basi kweli tutaishia kukwamishana hata kwenye shughuli chanya zenye zilizo na tija ya kimaendeleo.

Kazi kuponda tu kila kitu.
 
We Nyani ni ile post yangu ndio imekupa hamu ya kuandika haya!!! Ikiwa ndiyo nitakujibu.
Huyu jamaa si dhani kama yupo serous na nchi yake. Leo kuna baadhi ya vijiji bado wamekuwa watu wa mlo moja, huduma ya afya wanaifaya si chini kilomita 20, idadi ya watu wasio na ajira inazidi kuongezeka, sasa sijui anawaza nini?
Bora basi hata imgenunuliwa moja kwanza.
 
Kutokuridhika kwa binadamu ni jambo la kiasili.

Kunung'unika nako ni ada ya mja.

Bila ya kupoteza sana muda ngoja nizame moja kwa moja kwenye hoja.

Baada ya ununuzi wa hizi ndege za shirika letu la ndege, kumekuwepo na hoja kadha wa kadha zinazohoji eti kwa nini mheshimiwa MTUKUFU rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Joseph Magufuli pamoja na serikali yake wananunua ndege ilhali sehemu nyingi za Tanzania hazina viwanja vya ndege, eti hatuna sukari ya kutosha, hatuna sijui mashine gani mahospitalini, na kadhalika na kadhalika.

Sasa nami hebu ngoja niulize [maswali] yangu:

Hivi, kwani wakati ule tulipokuwa na zile ndege zetu za ATC, tulikuwa na viwanja vingapi vya ndege huko mikoani na wilayani?

Je, wakati ule hospitali zetu za serikali zilikuwa na kila kitu? Bugando ilikuwa na mashine zote zilizokuwa zinahitajika? Muhimbili nayo ilikuwa imejitosheleza kwa kila kitu?

Sukari, unga, sabuni, na mahitaji mengine nayo tulikuwa tumejitosheleza nayo vizuri tu?

Hizo Fokker Friendship [nadhani walikuwa nazo mbili au zaidi] za ATC ziliweza kutua hata huku kwetu Ikungulyabashashi, Ng'wamapalala, Lamadi, Madale, na Nyangokolwa?

Nchi zingine zilizo na mashirika yao ya ndege zenyewe zimetatua matatizo yake yote kabla ya kuamua kuwa na ndege zake zenyewe?

Huko Kenya kwa mfano, wao kila hospitali yao ina kila kifaa kilicho cha muhimu?

Sasa labda mimi kwa vile ni mbeba maboksi tu nisiye na elimu yoyote ile kubwa [niliishia kidato cha nne ambapo nilipata daraja la nne na pointi 30] ndo maana labda kwa kiasi fulani sizielewi hizo hoja za baadhi ya hao vipanga wanaozitoa.

Lakini nadhani mtu unaweza ukawa unatafuna jojo huku ukitembea na kuongea kwenye simu yako ukiwa unaelekea kwa Joji kwenda kula kiti moto au chipsi vumbi.
Mkuu kama kweli umefika kidato cha nne kwa jinsi ulivyoanalyse mambo hapo ni dalili tosha kwamba umepata elimu na umeelimika,unayaona mambo ambayo "wanaojifanya"wameenda shule wanashindwa kuyaona.
 
SAMAHANI MH RAIS
SAMAHANI MAMLAKA HUSIKA
SAMAHANI WASHAURI WA RAIS

Mh Rais leo umesema kuwa unazo hela za kununua ndege zingine mbili (NAOMBA NILIE KIDOGO hiiii hiiii hiii ng'aaa ng'aaa ng'aaa)

ni muda sasa umepita msd wanasema hawana hela za kuagiza Madawa (nalia tena hiiii hiii hiii hiii hiiii)

mwanangu wakambo hajachomwa sindano ya chanjo ile hospitali yetu ya kata haina (nalia tena hiii hiii hiii hiii)

kule kigoma kumetokea tetemeko
(KILA SIKU WAHANGA WANALALAMA KUWA HAWAJALIWI) (nalia tena hiii hiii hiii hiii)

KWANI MH HIZO NDEGE MPYA ZITAKUWA ZINABEBA MAITI AMA WAGONJWA WALIOKOSA MADAWA MAHOSPITALINI?

ama je kipaombele cha serikali hii ni ndege tu??

WAHESHIMIWA INAWEZEKANA NIMEWAZA VIBAYA HIVYO NISAMEHEWE BILA KUADHIBIWA
Hahahaaa mkuu hii ndo bongo bana ....teh teh teh ngoja wadhamini wa li professer waje ...lumumba fc wazee wa mapovu
 
Back
Top Bottom