<br />Migogoro na timuatimua ni dalili tosha ya chama kinachoyumba. Hao jamaa ndiyo walikuwa nguzo ya CHADEMA Arusha na kuwafukuza ni kujichimbia kaburi. Watajipanga, watarudi kuwpa kichapo kitakatifu hadi mjutie maamuzi yenu ya kukurupuka. Kwanza mliwapa nafasi ya kujitetea? Mlisoma mazingira ya mgogoro? Mlirekebisha tofauti?
<br />
hao waliotoa hayo maamuzi ni wanaume wanaotaka heshma co kuchzewa tu.. Co lzma waxeme wanajivua gamba. Ni matendo tu,na hao 5 wengne cjui kwa nin waliachwa,.