RAI la alhamisi hii lakonga nyoyo za watanzania

zamlock

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
3,840
657
watanzania na wapenda mabadiliko naomba niseme hili gazeti ni mali ya rostam aziz lakini limekuwa mstari wa mbele hivi karibuni kukiponda chama cha mapinduzi kwa mfano mzuri ni toleo la leo linazungumzia anguko la ccm tiba yatajwa na wamejaribu kuelezea makundi sita ndani ya chama cha ccm ni vitu ambavyo ukivisoma unaona wazi RAI limebadilika au uenda rostam aziz ameamua kufanya biashara na kuandika ukweli uliopo ili magazeti yake yanunuliwe pia kuna makala ingine ambayo nimeipenda inayozungumzia lusinde akamatwe ahojiwe na swala zima linalo husu matusi aliy yatoa wakati wa kampeni kwa kweli nawapongeza sana gazeti la RAI mbadilike na muwe wawazi kuandika habari za kweli msiandike habari kwa kuwasafisha watu ili waonekane wasafi kwenye jamii,
 
watanzania na wapenda mabadiliko naomba niseme hili gazeti ni mali ya rostam aziz lakini limekuwa mstari wa mbele hivi karibuni kukiponda chama cha mapinduzi kwa mfano mzuri ni toleo la leo linazungumzia anguko la ccm tiba yatajwa na wamejaribu kuelezea makundi sita ndani ya chama cha ccm ni vitu ambavyo ukivisoma unaona wazi RAI limebadilika au uenda rostam aziz ameamua kufanya biashara na kuandika ukweli uliopo ili magazeti yake yanunuliwe pia kuna makala ingine ambayo nimeipenda inayozungumzia lusinde akamatwe ahojiwe na swala zima linalo husu matusi aliy yatoa wakati wa kampeni kwa kweli nawapongeza sana gazeti la RAI mbadilike na muwe wawazi kuandika habari za kweli msiandike habari kwa kuwasafisha watu ili waonekane wasafi kwenye jamii,
Ni vigumu sana kwa mfa maji kutotapatapa
 
watanzania na wapenda mabadiliko naomba niseme hili gazeti ni mali ya rostam aziz lakini limekuwa mstari wa mbele hivi karibuni kukiponda chama cha mapinduzi kwa mfano mzuri ni toleo la leo linazungumzia anguko la ccm tiba yatajwa na wamejaribu kuelezea makundi sita ndani ya chama cha ccm ni vitu ambavyo ukivisoma unaona wazi RAI limebadilika au uenda rostam aziz ameamua kufanya biashara na kuandika ukweli uliopo ili magazeti yake yanunuliwe pia kuna makala ingine ambayo nimeipenda inayozungumzia lusinde akamatwe ahojiwe na swala zima linalo husu matusi aliy yatoa wakati wa kampeni kwa kweli nawapongeza sana gazeti la RAI mbadilike na muwe wawazi kuandika habari za kweli msiandike habari kwa kuwasafisha watu ili waonekane wasafi kwenye jamii,
Mkuu leo umelisifia na kesho likija na habari za upande wa pili ambazo ni za kweli, pia naomba ulisifie.
 
Mtu akiandika au kusema jambo la kheri na la ukweli; na apewe sitahiki zake.
 
Back
Top Bottom