Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ha! ha! ... Emanuel Makofia Alafu kesho akibadilisha menu anapiga Urojo! ..ndo maaana vijana wa ck hizi kazi hamuwezi!!:A S embarassed:
Hapo kuna kijiko & uma..kaka mie ni ultimate & most eligible single..uc'hof kuhusu hilo.Mbona vijiko vipo viwili?
bachela kweli!!
sio kila mtu ni muabudu ngono(binafsi napenda companionship & quality sex sio quantity)..vilevile sie wengine tuna hobi zetu na tunamentein figa vilevile na wala sio watu wa bara wa kufakamia ugali usubuhi..ushanpata eenh??ndo maaana vijana wa ck hizi kazi hamuwezi!!:A S embarassed:
Hii lazma upate choo kigumu sana
Mbona vijiko vipo viwili?
bachela kweli!!
sasa si ueke na wewe menu yako?Mh aisee ata mi nimekuzidi...!!! badlibadili mapishi bana....
Duh, naona unazidi kunyambua picha..ka-import mzigo huyo... sharing is caring
na hata chapati amesema zipo mbili!!!!kila chapati na kijiko chake!!!!Mbona vijiko vipo viwili?
bachela kweli!!