Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,990
Jamani tunda nitalipataje tunda.tunda nalipenda nitalipataje tunda...tunda kavu kavu ntalipataje tunda....ndugu zanguni wapo wengi wanashindwa kuelewa niini maana ya tunda...wapo wanaokula tunda wakati wa huzuni lakini leo hii niwajulishe raha ya tunda ulile ukiwa na amani..tunda tamu pale kila mtut anapotoa sauti ya bashasha toka moyoni.....wapo wanaokimbilia tunda gafla wakiariu wakijua hii ndi sln ya kumtuliza mwenzio la hasha tunda ulile likiwa na raha ndani yake..tuache kulitumia tunda vibaya....
jamani tunda ntalipataje tunda nalipenda ntalipataje tunda
jamani tunda ntalipataje tunda nalipenda ntalipataje tunda