Hii ndio Tanzania zaidi uijuavyo, hapo kama kuna mtu ana TB au Meningitis au hata Flu atasambazaje huo ugonjwa? Starehe tunapenda sana wabongo ila afya zetu kwa ujumla hatuzidhamini kabisa, hapa ni full kujazana sio poa kiafya hata kidogo.
Hapo pembeni mwa kichupi chake mbona shavu moja linataka kupenyeza?:rolleyez:
Huwa wananitia kichefuchefu haawa
...Mh! Hii lazima itakuwa uwanja wa fisi sioni tofauti ya mwanaume wala mwanamke hapo wote hali moja mikorogo na uchafu mtupu! Lazima kutakuwa na mibwabwa ya kumwaga tu hapo!!!!Duniani kuna mambo hii ilikuwa wapi Mfunyukuzi maana mpaka daaaaaaaa.
...Kweli dunia uwanja wa fujo. Cheki hilo njemba lilivyotoa mimacho na kukapumulia hako kakicheche na jamaa anaonekana ana pete ya ndoa akitoka hapo anaenda kugonga kicheche maulevi yamemzidi hakumbuki hata condom...siku mbili tatu amerogwa kumbe mingoma ya kujitakia..!
siamini kama hali imekuwa mbaya kiasi hiki kwa hawa wa dada wa ki tz
mie picha zote naona watu wanacheza tu kwa raha zao, kwani kuna tatizo mtu kuipa nafsi yake ile kitu inapenda? hata kama wanacheza uchi mbona wamakonde wahaya na wengineo kiasili kabisa wanacheza wakiwa wamevaa vimajani kiunoni wanapocheza ngoma? hali si mbaya ni raha tu zimewazidi
rusheni roho akina dada maisha yenyewe mafupi.
Hapo pembeni mwa kichupi chake mbona shavu moja linataka kupenyeza?:rolleyez:
...Mh! Hii lazima itakuwa uwanja wa fisi sioni tofauti ya mwanaume wala mwanamke hapo wote hali moja mikorogo na uchafu mtupu! Lazima kutakuwa na mibwabwa ya kumwaga tu hapo!!!!
mie picha zote naona watu wanacheza tu kwa raha zao, kwani kuna tatizo mtu kuipa nafsi yake ile kitu inapenda? hata kama wanacheza uchi mbona wamakonde wahaya na wengineo kiasili kabisa wanacheza wakiwa wamevaa vimajani kiunoni wanapocheza ngoma? hali si mbaya ni raha tu zimewazidi