Raha ya nyumba ndogo

Eheeeeeeh.....!


Na huyu tena.......!



Tena.......!


Eeeeeh tena........!

Ba ndugu...watch out isije kawa BHT= Masaki's X-Gfriend!

Sababu:

BHT: .....sometimes huvaa shanga mguuni

Masaki' X-Gfriend: Anavaa shangaa mguuni as well

BHT: Yupo vacation......stress free leave

Masaki: Now yupo Stress free leave....!

Masaki's X-Gfriend .....alikuwa pasua kichwa....lugha gongana sana,

BHT: Anasema, relation yao ilikuwa hell fulani, lugha gongana kwa kwenda mbele.........!

......just kulwasi mazee msinirushie mwiko wa ugali...........!
jana nilimuuliza Masanilo ID ya zamani ya Masaki maana machale yalinicheza kwelikweli.....NL we ni jiniasi kwa kweli. Ila mi sivai shanga mguuni navaa cheni!!!
Yeah! Good observation, bht hebu tutete kidogo kwenye PM, isije kuwa Next Level yuko sahihi! :)

heheeeee acha wasiwasi nawee!!!
 
Nimesikia mara kadhaa baadhi ya wanaume wakisema nyumba ndogo zinawaliwaza na kuwaondolea stress wanazozipata kwa wake zao. Mie nikitafakari nahisi kama nyumba ndogo zinaongeza stress maana utatakiwa kuingia gharama za kuihudumia, kubana muda wako ili kuwa nae na kujifunga mabomu pindi waifu atakapong'amua. Naomba wenye nyumba ndogo au uzoefu wa kuwa na nyumba ndogo watupe uzoefu wao. Waliowahi kupata bahati ya kuwa nyumba ndogo za watu nao tunaomba their side of the story. Bila kusahau waliowahi kupata adha toka kwa nyumba ndogo zao au rather nyumba ndogo za waume wao. Na wote mnaoguswa na hili, karibuni tuchangie.

Umeiita bahati sasa ubaya wake nini! Na wewe kama umeoa si ujaribu ujionee mwenyewe kama ukishindwa unatema mzigo
 
Mapenzi hayana formula, mwanzo huanza kwa kuonjana na baada ya kukolea nyumba ndogo hutengenezwa
 
Yeah! Good observation, bht hebu tutete kidogo kwenye PM, isije kuwa Next Level yuko sahihi! :)

jana nilimuuliza Masanilo ID ya zamani ya Masaki maana machale yalinicheza kwelikweli.....NL we ni jiniasi kwa kweli. Ila mi sivai shanga mguuni navaa cheni!!!


heheeeee acha wasiwasi nawee!!!

Jamani kibatani kimepotea.............ngoja nimtafute Iribini.........!
 
jana nilimuuliza Masanilo ID ya zamani ya Masaki maana machale yalinicheza kwelikweli.....NL we ni jiniasi kwa kweli. Ila mi sivai shanga mguuni navaa cheni!!!


heheeeee acha wasiwasi nawee!!!

Masanilo alikuwa bado ana ''hangover'' na gemu zake za Uswazi anakopenda kwenda kuji-express!! Mchukulie poa!
 
Masanilo alikuwa bado ana ''hangover'' na gemu zake za Uswazi anakopenda kwenda kuji-express!! Mchukulie poa!

Hahahaha haya mambo ya mbolea naona wengi siku hizi imekuwa fasion wanapenda sana.
 
Ehe .Watu mbona hamjatako ishu? Mnapbit around the bush tu . Mada inasema tupeni uzoefu kwa waliowahi kupata raha au adha za nyumba ndogo. Kila mtu anasema like hahusiki , sasa wenye nyumba ndogo wako wapi na hizo nyumba mbona hazisemi kitu. Eti nyumba ndogo inaleta stress , oh ni tamu bla bla. Tupeni experience . Otherwise hamna numba ndogo humu jamvini kwa hiyo hamna mchango wa mada .
 
masaki naona umeweka kambi kwenye hii sredi siku ya tatu leo....!:eek:
 
Back
Top Bottom