bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Hahaha! Mamushka unanizeesha nikiwa kwa stomach!
NALIONAGA TAMBARA lake la tangazo pale salenda yaaaaaaaaaaak natamani ningekuwa manispaa ya ilala, afu na pale kwa manyanya...
Teh teh teh! Hujasikia Dr Ndodi anasema ukizilazimisha kuwa bigger damu haifiki huko? Allocation yake ni lita 3 za damu tu, sasa hiyo damu ya ziada itatoka wapi? Side effect asije kulia mtu hapa, mimi simo!
huyo naye ndo wale wale tu kwanza nani alimtunuku u-DR?? STAR TV AU??